Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

jaman hii ndio CV? na imekamilika?

Muulize vizuri aliyeileta ameipata wapi isijekuwa kaitunga mwenyewe hapa hapa ili kupata "cheap popularity" kama viongozi wa Bunge letu wanavyopenda kusema kama kuna mbunge wa kambi ya upinzani amepiga mshale kwenye 'Achille's tendon' ya Serikali!
 
hahaha1 jamani! mbona huwa mnawekaga cv za vilaza wa chama tawala! mbona wakiweka cv za vilaza wa upinzani mnakuja juu sana! jamani humu ndo jamvini! funika kombe.....! hii inaonyesha hata huyu muheshimiwa alibebwa tu!

Alibebwa na nani kwenda wapi?
 
Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.

simple mind always discuss people but great mind always discus issues! take a break n think, we have so many bargers
dispite of their masters and doctorate they hold, education is mesuared in terms of dirivarance n not no of certificates you possess in your shelf, where is Nundu, where is Mungai and his education phylosphy?where is mushame!
 
simple mind always discuss people but great mind always discus issues! take a break n think, we have so many bargers
dispite of their masters and doctorate they hold, education is mesuared in terms of dirivarance n not no of certificates you possess in your shelf, where is Nundu, where is Mungai and his education phylosphy?where is mushame!



A keen mind never obeys absurd and lopsided views; you have to lean to be sober and impartial.Don't just think about your belly.
 
ungekuwa na master mbili usinge weka ujinga huu ndio maana tuna wanasheria waajabu Tanzania hawana hata msaada kama wewe ni mimaster yako ya madesa

Wivu tu, mimi nilikukataza kusoma? shut upppppppppppppppppppppppppppppppp. Kwa taarifa yako Masters zangu siyo za vyuo vya uchochoroni au za kudesa. Kwani nimeleta kitu cha uongo? Mbona CV zingine mnashangilia? acha ushambiki.
 
simple mind always discuss people but great mind always discus issues! Take a break n think, we have so many bargers
dispite of their masters and doctorate they hold, education is mesuared in terms of dirivarance n not no of certificates you possess in your shelf, where is nundu, where is mungai and his education phylosphy?where is mushame!

hauko makini.
 
Don't be personal, if you need real changes and what they call revolution be ready to face the reality.
 
Join Date : 13th July 2012
Posts : 24
Rep Power : 305
Likes Received1
Likes Given0
NILIGWA BAN JILI YA ZOMBA NDO NIMERUDI LEO, NAOMBA TUHESHIMIANE ***************
 
A keen mind never obeys absurd and lopsided views; you have to lean to be sober and impartial.Don't just think about your belly.

two masters of law lol!shame on you! you better look the third one in law!thats why your contribution look similar with what you have in ya mind!
 
Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.
wewe na hizo mastrs zako3 za sheria unaweza usifanye lolote ukipewa position ya mbowe.
CV katika maandishi ni makaratasitu.....CV inaonekana kua valuable kama ikiwezesha kudeliver.
 
jamani malumbano ya nini.. Mbowe yuko wap aje ajibu maswali hapa.. Jamvini?
 
Kama CV hiyo siyo yake aikane tujue kama mleta uzi ni muongo. Zaidi ya hapo MBOWE ni kilaza.
 
Chadema Mnatia Aibu, Kiongozi Mkuu hata elimu hakuna Form six Dunia ya sasa, Hawezi kaa meza moja na Barak Obama huyu hataweza kusafiri kwenda kuzungumza na Marais wenzake,,, Hawezi kusafiri kama JK Atakuwa hana Confidence,,,
Jakaya yupo juu
 
Acheni uongo ninachojua sifa ya mojawapo ya mtu kugombea urais tz ni lazima awe na degree ya chuo chochote kinachotambulika na hyo ilipitishwa kipindi mrema ni tishio kwa ccm ili asigombee kwa 7bu alikuwa hana degree lakini akaenda marekani akaichukua degree kwa miaka miwili na akagombea 95. kwa hyo hata Mbowe ana degree. Acheni storry za kusadikika.
 
- Ndio huwa mara nyingi sana tunawaonya kuhusu hizi tabia za kutoka nje ya ishus muhimu kwa taifa na wananchi, huwa mnaanza wenyewe halafu zikiwarudia mnashangaa na kutumia nguvu na matusi mengi kujaribu kuharibu topic ambazo chanzo ni nyinyi wenyewe, zikiwarudia mnakuwa wakali na maneno mengi yasiyo na tija!!

- Matatizo ya CV za viongozi wa vyama vingine huwa ni yenu sasa onjeni how sweet it is mnapofanyia wengine!! ha! ha! ha! hata ku-comment siwezi maana ni simply a big joke!!

FMeS!
 
Hizi CV, naamini zimejaa uongo, huyu mtu unataka kuniambia hakusoma Chuo nje ya Tanzania?!
 
Back
Top Bottom