Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Kweli kabisa mkuu maana kama wewe siyo Bashite huwezi kumsapotiHalafu mkuu,cha kustaajabisha zaidi ni mwandiko wa hao watetezi wa Bashite,wote unafanana,lugha mkato. Hii ni ishara ya "birds of a feather flock together".