Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Huwa sipati majibu ni kwanini ukiulizia matokeo ya Mwenyekiti wa Chadema huwezi pata majibu zaidi ya matusi!

Kama hujala ban, thread kuhamishwa jukwaa, kufungwa au kuwa merged na nyingine bado hujapata majibu!

Ni mwaka wa 15 sasa huu, majibu ya maswali kuhusiana na historia ya kitaaluma ya mwenyekiti wa chadema haipatikani!

Nasubiri kuona labda sasa kwakuwa wameamua kuwa wawazi watatuambia!
Matokeo yako ni public?,mbona hatujawahi kuyaona,acha umbea utasutwa.
 
Huwa sipati majibu ni kwanini ukiulizia matokeo ya Mwenyekiti wa Chadema huwezi pata majibu zaidi ya matusi!

Kama hujala ban, thread kuhamishwa jukwaa, kufungwa au kuwa merged na nyingine bado hujapata majibu!

Ni mwaka wa 15 sasa huu, majibu ya maswali kuhusiana na historia ya kitaaluma ya mwenyekiti wa chadema haipatikani!

Nasubiri kuona labda sasa kwakuwa wameamua kuwa wawazi watatuambia!

wenye shida ya kujua huwa hawaulizi jamii forums, huwa wanakwenda baraza la mitihani kufatilia.....so na ww nenda tu, na njia ya pili mfate mboe mwenyewe umuulize
 
wenye shida ya kujua huwa hawaulizi jamii forums, huwa wanakwenda baraza la mitihani kufatilia.....so na ww nenda tu, na njia ya pili mfate mboe mwenyewe umuulize
Kwanza matokeo na vyeti feki ni vitu viwili tofauti, kufoji vyeti ni kosa la jinai na kupata matokeo mabaya si kosa la jinai.
 
mim siwez kukutukana ndugu ila naomba nkuulize mbowe O'level alisoma wapi na akapata 0 kama kweli ni ndugu yako?
Sijasema kapata 0...unaona sasa! Mtu mmemjua juzi tu alafu mnatetea vitu vya ajabu! Najua baada ya hapa ni mitusi! Ngoja nikawajibike kwa ajili ya familia yangu na nchi yangu!
 
Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.

Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.

Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
 
PhD feki imesababisha Ben Saanane hatunae mkuu ngoja tumalizane na Bashite kwanza usihamishe magori
 
Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.

Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.

Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.

Binge - Bunge

Freman - Freeman
 
kwan wenye elimu wamelisaidia vipi taifa letu?
au kwa upande wako unaweza mshauri mwanao asome awe kama msomi yupi?
 
Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.

Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.

Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
Ndio nimetoka kwenye uzinduzi wa album ya SGR huko Pugu!Rais kanichanganya sana mpaka nikajiuliza kama phd ni hivi je asingesoma ingekuaje?
 
Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.

Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.

Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
Pitia wasifu wake katika tovuti ya bunge, alichoweka ndio hicho umuoneshe kijana wako, huna haja ya kuanza kupiga ramli.
 
Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.

Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.

Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
Ukitaka kujua elimu yake kaa wewe na yeye mjenge hoja utaijua vizuri elimu yake au wewe Byebalilwa google jina lako na lake uone nani ataonekana zaidi au waulize watu katika kujulikana kwako na kwake utajua elimu yake ikoje au tu jilinganishe utajiri ulio nao na yeye au tu pita mtaani na yeye uone nani mwenye heshima na kupewa ulinzi zaidi
 
dah aisee kuna watu wanajua kutukana mpaka unaweza kuichukia JF,

kama upande wa pili wataanza kuatack watu instead ya hoja JF hakuna atakayekaa humu
 
Kilazer ndio kiongozi mkuu wa upinzani bungeni.
 
Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.

Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.

Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
Huyu hana phd feki au cheti cha std 7 kma bashite,hoja zake huwa zimeshiba kuliko mtu mwenye phd hata lumumba fc wanajua hicho ni kichwa adimu
 
Ukitaka kujua elimu yake kaa wewe na yeye mjenge hoja utaijua vizuri elimu yake au wewe Byebalilwa google jina lako na lake uone nani ataonekana zaidi au waulize watu katika kujulikana kwako na kwake utajua elimu yake ikoje au tu jilinganishe utajiri ulio nao na yeye au tu pita mtaani na yeye uone nani mwenye heshima na kupewa ulinzi zaidi
Kwanini utetezi huu usikubalike kwa makonda pia
 
Unagongwa fatilia PhD feki
acha kupotezea. jibuni mbowe kasoma nini? ni form six au kama aliwawi kuona mlango wa chuo kikuu. mnajidai tu kusota kidole Phd za ukweli huku Mbowe hadi leo watu hawajui kiwango cha elimu yake
 
Back
Top Bottom