Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Darasa lanonino ' f'
Mpiga disco maarufu,
Bush loya.
Politition muoga wa kushindwa uchaguzi n.k
 
Mbona watanzania mibinywa ngumu!!!! Hata kama ana Zero ni ya kwake hakufoji kama bashite!
 
Huwa sipati majibu ni kwanini ukiulizia matokeo ya Mwenyekiti wa Chadema huwezi pata majibu zaidi ya matusi!

Kama hujala ban, thread kuhamishwa jukwaa, kufungwa au kuwa merged na nyingine bado hujapata majibu!

Ni mwaka wa 15 sasa huu, majibu ya maswali kuhusiana na historia ya kitaaluma ya mwenyekiti wa chadema haipatikani!

Nasubiri kuona labda sasa kwakuwa wameamua kuwa wawazi watatuambia!


Kwani naye anatumia jina la nani?Kama amekuibia jina lako tuambie ili tuanzishe shinikizo la kudai vyeti vyake kama tunavyofanya kwa tapeli wa taaluma Bashite.Vinginevyo utakuwa umechanganyikiwa kuanza kudai matokeo ya mtu bila kuwa na sababu yoyote ya kufanya hivyo.
 
Yaani wewe ndio umejiunga Leo jf kwa kusudi ya kutetea U Bashite?
Halafu mkuu,cha kustaajabisha zaidi ni mwandiko wa hao watetezi wa Bashite,wote unafanana,lugha mkato. Hii ni ishara ya "birds of a feather flock together".
 
Mjinga mkubwa wewe, usitake kutupotosha kwani Mbowe alinunua cheti? habali ya mjini mwambie Makonda yuko uhamishoni aonyeshe vyeti. o
 
KIBAHA ALISOMA O'LEVEL NA ALIPATA DIV- I, A'LEVEL ALISOMA IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL YA BUKOBA HGE ALIPATA DIV-II POINT 11
 
Back
Top Bottom