Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Taja kifungu cha katiba yao kinacho ipa nguvu hoja yako
 
At least mbowe anatumia jina lake sahihi HAKUNUNUA CHETI kama Daudi Bashite! Ajiuzulu kwa kashfa gani sasa? Pisha kule!
 
Alifeli kwa jina lake saafi kabisa sasa ishu ni kufauru kusiko kuwa kwa jina lako hapo tu ndo KIU YA HAKI ilipokuja
 
Ungekuwa unajua tunge elimishana lakin kwa kuwa ww ni ccm sina cha kujifunza kwako
 
Tumuache mkuu wetu wa mkoa .....we mwenye degree na elimu iliyo ungaunga umepata nn??!!
 
Nilifikiri unamuomba ajiudhuru kwa sababu majukumu ya chama yanamfanya ashindwe kukuhudumia vema kiasi cha kuhisi mumeo hakutimizii,kumbe ni hoja mfu ya Elimu?

Jana kutwa nzima ulikuwa unahangaika kuleta thread hapa jukwaani za kumtetea Makonda kama kuku anayetafuta pa kutaga,leo umehamia kwa Mbowe!Pole sana,karibu kanisa la ufufuo na uzima siku ya jumaapili umsikilize Mwalimu toka kijiji cha Kolomije akitoa ushuhuda dhidi ya mungu wa Dar.
 
Ubashite at work! Mbowe kutokana na uwezo wa babake alikuwa na uwezo wa kununua hata cheti cha shule za nje ya nchi akasingizia kwamba alisoma huko na hatimae kuendelea na hizo frauds!!! Pamoja na kuwa na uwezo wa kufanya hayo, Mbowe ali-opt kubaki na ZERO yake na wala sio kosa kwa mujibu wa sheria zetu na sheria za nchi yoyote!!

Hivyo basi, usilinganishe fraud na mtu ambae yupo clean!!!
 
Katika watanzania laki nne wanaofanya mtihani wa form four takribani laki Tatu hupata division zero. Nao Wana haki ya kuongoza. Shida siyo kupata zero, tatizo ni kupata zero halafu kutakatisha matokeo kwa cheti cha kufoji.


Hata sheria ya nchi haikatazi kupata zero bali kutumia cheti cha kughushi
 
Nimeamua kuachana na siasa ili kichwa kisiume.
 
Bashite kwanza jamani,halafu ndo chair wetu .
Koromije na pamba secondary school kwao
 
NI AIBU CHAMA KUONGOZWA NA FORM SIX FAILURE.

Wakati tukiendelea kusubiria cheti cha Bwana Makonda kilicho chini ya Mchungaji/Tapeli Gwajima, inabidi tutumie nafasi hii kumuomba na mwenyekiti wetu Mbowe kujiuzuru kwa maana ni aibu kwa taasisi kubwa kama Chadema Kuongozwa na mtu ambaye Elimu yake inatia shaka.

Wana Chadema Wenzangu, nadhani mtakua mashahidi jinsi chama chetu kilivyoanza kupoteza uelekeo baada ya Bwana Magufuli kuanza kuendesha jahazi kwa uelekeo walioulilia upinzani na upinzani kukosa pa kushika hii ni kutokana na elimu ndogo ya M/kiti Wa chama kikuu cha upinzani na kiongozi Wa upinzani bungeni.

Laiti kama Lisu au Baregu. Mmoja wao angekua M/Kiti nina hakika serikali hii ingepata challenge na 2020 tungeiangusha.

NI AIBU TAASISI KUBWA KUONGOZWA NA MTU ALIYESHINDWA KIDATO CHA SITA
bora chama kuliko jiji kha
 
Wakuu, kuna mambo yanajaribu kulazimishwa -- kwa waungwana si vyema kuyaacha bila ya kuyaondolea uvivu.

Hivi karibuni kumekuwa na madai ya watu pana double standards eti kuwa kama ilikuwa halali kwa watu kutajwa “list of shame” kwa nini iwe haramu kutajwa watu kwenye list ya madawa ya kulevya hata kusababisha watu wakapiga kelele kiasi kile?

Tujikumbushe “List of Shame” ilitajwa na chama upinzani katika harakati zake za kisiasa. List hiyo haikutolewa Serikali labda kama nayo ni chama kilicho katika hali ya kujiimarisha kisiasa Kuwianisha matamko ya list of shame na tamko la Makonda ni kujaribu kusema kuwa Serikali imejivisha ushabiki wa kichama na hili ndilo ambalo si sahihi na linalopelekea wangwana kulipinga kwa nguvu zote.

Suala jingine linalohusiana na hili ni suala la kuhitajika kwa CV ya mheshimiwa Makonda kuwianishwa na kuhitajika kwa CV ya mheshimiwa Mbowe. Inaombwa CV ya Makonda mashabiki wengine kwa kujivisha kutojitambua wanadhani wanakuwa wamejibu mapigo kwa kuomba nao CV ya mheshimiwa Mbowe kwa mantiki ile ile. Haiweleki uhusiano wa mawili hayo hapa uko wapi.

Makonda anaombwa CV kwa sababu kuna tashwishi mahsusi ya ughushi vyeti vita halali iliyoanzishwa na mheshimiwa Rais. Hakuna popote tashwishi hilo liko kwa mheshimiwa Mbowe na popote pale. Sasa hii ya kuwianisha yaliyopo na yasiyokuwapo si sawa ni sawa na kujaribu kuangalia mbuzi 4 na kondoo 4 wepi ni zaidi?

Ilidhaniwa kuwa labda yaliyokuwa na ufanani ni kama Albadiri – la kumshitakia Manji (kama alivyosema FaizaFoxy) kwa Mungu kulikofanywa na BAKWATA hakukuwa na tofauti na Albadiri la Mchungaji Gwajima kwa Makonda? Pengine haya ndiyo tungekuwa logically tunayalinganisha maana hawa wote taarifa (issues) zao au zinazoitwa dhuluma zao ziko mezani kwa Mnyazi Mungu yakisubiriwa majibu baada ya mamlaka za hapa duniani kujifanya zimezitia masikio pamba?

Ikumbukwe huliliwa Mungu inapotokea Mamlaka za hapa duniani zimeamua kuikalia iliyo haki ya wanyonge.

Msilazimishe, watanzania wa leo si wa jana. Wa leo wanatambua ya kuwa ni vipi “Lila na Fila huwa havitangamani.”
 
KWA UFUPI KUHUSU SHULE ALIZOSOMA MBOWE BIN GASTURA ¦¦

Alisoma shule ya msingi Lambo-Moshi kwa bahati mbaya hakuchaguliwa, ila baadae akajiunga kusoma 'form i-iv' shule ya sekondari Kibaha mkoani Pwani. Je unadhani aliipata vipi hiyo nafasi ilihali hakuchaguliwa! ?, na mwisho akasoma 'form v-vi' shule ya sekondari Ihungo - Bukoba. Lakini jina alilotumia kusoma Ihungo linaonyesha kuwa lilisoma Milambo Boys kidato form i-iv, hii ina maana kuwa jina alilotumia kusoma Kibaha siyo jina alilotumia kusoma Ihungo, Ihungo alitumia jina la Firimon Gastura. Jiongeze upate majibu.

[HASHTAG]#AlisomaShuleGani[/HASHTAG] hili limejibiwa
[HASHTAG]#AlikuwaAkitumiaMajinaGaniShuleni[/HASHTAG]?
[HASHTAG]#BabaMkweAlitumiaVigezoGaniKumpaAjiraPaleBOT[/HASHTAG]?

Muwe na weekend njema.
e858a8f50a019516f64a75e0f8ab04b2.jpg
 
KWA UFUPI KUHUSU SHULE ALIZOSOMA MBOWE BIN GASTURA ¦¦

Alisoma shule ya msingi Lambo-Moshi kwa bahati mbaya hakuchaguliwa, ila baadae akajiunga kusoma 'form i-iv' shule ya sekondari Kibaha mkoani Pwani. Je unadhani aliipata vipi hiyo nafasi ilihali hakuchaguliwa! ?, na mwisho akasoma 'form v-vi' shule ya sekondari Ihungo - Bukoba. Lakini jina alilotumia kusoma Ihungo linaonyesha kuwa lilisoma Milambo Boys kidato form i-iv, hii ina maana kuwa jina alilotumia kusoma Kibaha siyo jina alilotumia kusoma Ihungo, Ihungo alitumia jina la Firimon Gastura. Jiongeze upate majibu.

[HASHTAG]#AlisomaShuleGani[/HASHTAG] hili limejibiwa
[HASHTAG]#AlikuwaAkitumiaMajinaGaniShuleni[/HASHTAG]?
[HASHTAG]#BabaMkweAlitumiaVigezoGaniKumpaAjiraPaleBOT[/HASHTAG]?

Muwe na weekend njema.
e858a8f50a019516f64a75e0f8ab04b2.jpg
Kote huko tutafika, tuanze na huyo aliyelia kanisani, obviously he is guilty.
 
Back
Top Bottom