Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Freeman mbowe na yeye original... Sasa uyu daud bashite kwi kwi kwi...
 
Great Thinkers,
Naona wauza madawa wanamuandama sana Mh. Makonda, ila wengi wao wamesahau kuwa Mh. Mbowe alishawahi kuandamwa na jinamizi la kupata zero, na utata wa vyeti vyake, ila hajawahi kujitokeza kusema kama ni kweli au la.

Je Mh. Mbowe ni lini atakuja jitokeza kuongelea juu ya vyeti vyake??

Makonda ni mchapa kazi, na wala propaganda haziwezi kumpunguzia ari, maana yeye anakipaji cha kuongoza.

Wewe ni kilaza hujui mbowe kateuliwa na wananchi wengi tofauti na ajira za kishikaji za konda,ajira za serikali lazma uwe na vyeti tena vyeti halali
 
Tuhoji kuhusu mtumishi wa serikali,,,, na chama kitahoji kuhusu mwanachama wake
 
Great Thinkers,
Naona wauza madawa wanamuandama sana Mh. Makonda, ila wengi wao wamesahau kuwa Mh. Mbowe alishawahi kuandamwa na jinamizi la kupata zero, na utata wa vyeti vyake, ila hajawahi kujitokeza kusema kama ni kweli au la.

Je Mh. Mbowe ni lini atakuja jitokeza kuongelea juu ya vyeti vyake??

Makonda ni mchapa kazi, na wala propaganda haziwezi kumpunguzia ari, maana yeye anakipaji cha kuongoza.

Wewevnae..unafata mkumbo tu....lini uliwa kusikia Mbowe akiombea kazi vyeti vyake. ...yeye anasema wazi kuhusu elimu yake hajawahi kudanganya......
unapata zero halafu unakuja kutudanganya ..atataoka tu....ndara atavaa lakini
 
Great Thinkers,
Naona wauza madawa wanamuandama sana Mh. Makonda, ila wengi wao wamesahau kuwa Mh. Mbowe alishawahi kuandamwa na jinamizi la kupata zero, na utata wa vyeti vyake, ila hajawahi kujitokeza kusema kama ni kweli au la.

Je Mh. Mbowe ni lini atakuja jitokeza kuongelea juu ya vyeti vyake??

Makonda ni mchapa kazi, na wala propaganda haziwezi kumpunguzia ari, maana yeye anakipaji cha kuongoza.
Kwani Mbowe ametumia jina la mtu?

Acha kuchanganya mambo. Hapa kibaya kwa Makonda sio kupata zero, Mbona SENDEKA alipata zero na yuko zake NJOMBE anapiga mluzi bila usumbufu wowote.

Kinachongomba hapa ni kutumia jina la mtu kufanikisha malengo yake ya kielimu, which is fraud case!
 
Hiyo zero yake haina madhara kwetu. Maana kuwa mbunge qualification ni darasa la saba. Tutahoji siku akipewa kazi inayohitaji elimu.
 
Great Thinkers,
Naona wauza madawa wanamuandama sana Mh. Makonda, ila wengi wao wamesahau kuwa Mh. Mbowe alishawahi kuandamwa na jinamizi la kupata zero, na utata wa vyeti vyake, ila hajawahi kujitokeza kusema kama ni kweli au la.

Je Mh. Mbowe ni lini atakuja jitokeza kuongelea juu ya vyeti vyake??

Makonda ni mchapa kazi, na wala propaganda haziwezi kumpunguzia ari, maana yeye anakipaji cha kuongoza.
Hata taarifa za Bunge hazionesha chochote kuhusu elimu yake. Wanachadema wanakomalia ishu ya Makonda ili kupoteza ishu za Mbowe za utata wa elimu yake na tuhuma za madawa ya kulevya.

Tutaendelea kuhoji elimu ya Mbowe mpaka kieleweke!
 
NI AIBU CHAMA KUONGOZWA NA FORM SIX FAILURE.

Wakati tukiendelea kusubiria cheti cha Bwana Makonda kilicho chini ya Mchungaji/Tapeli Gwajima, inabidi tutumie nafasi hii kumuomba na mwenyekiti wetu Mbowe kujiuzuru kwa maana ni aibu kwa taasisi kubwa kama Chadema Kuongozwa na mtu ambaye Elimu yake inatia shaka.

Wana Chadema Wenzangu, nadhani mtakua mashahidi jinsi chama chetu kilivyoanza kupoteza uelekeo baada ya Bwana Magufuli kuanza kuendesha jahazi kwa uelekeo walioulilia upinzani na upinzani kukosa pa kushika hii ni kutokana na elimu ndogo ya M/kiti Wa chama kikuu cha upinzani na kiongozi Wa upinzani bungeni.

Laiti kama Lisu au Baregu. Mmoja wao angekua M/Kiti nina hakika serikali hii ingepata challenge na 2020 tungeiangusha.

NI AIBU TAASISI KUBWA KUONGOZWA NA MTU ALIYESHINDWA KIDATO CHA SITA
 
Embu tumalizane na hili la RC kununua cheti cha kidato cha nne kwanza ndio tuendelee na mengine.

Sheria inasemaje kwa mtu anayetumia cheti kisichokuwa chake?
 
Hivi Kikwete alimalizaga chuo? Hivi mwenyekiti wa sasa alifaulu akaenda kusoma ualimu?
Hivi Nyerere ilikuwaje akasoma elimu ya kuunga unga?
Ila hawakujiita Paul badala ya Daudi huko ni kumkimbia Goliati
 
Back
Top Bottom