capacity charge
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 352
- 489
Tunahitaji CV ya Daud Bashite huyo Makonda unamjua wewe.!
Acha kubadili mada, je hitimisho la makonda limefikia wapi? Ndiyo maana kila siku matamko yasiyokuwa na tija.mbona leo ni miaka 2 bado mnaendelea na neno uhakiki au umesahau kauli ya kiumbe yule ya tanganyika ya viwanda. Mwambieni aseme ukweli aonyeshe vyeti tuendelee na huyo uliyemtajaBAADA YA WANA JF NA WANAHARAKATI KUFATILIA CV YA MAKONDA HUU SASA NI MUDA WA KUFAHAMU CV YA MWENYEKITI WA CHADEMA ATULETEE HAPA TUWEZE KUICHAMBUA KAMA TULIVYOICHAMBUA YA MAKONDA
othiambo sisi tunachotaka kufahamu ni cv ya mbowe tuuUsiwapoteze watu mwambie huyo Bashite apeleke kile cheti chake halisi alichozungusha . Mbowe si kiongozi wa serikali na wala hajabadili jina meen
KINACHOZUNGUMZIWA HAPO CV TUUumetumwa kubadili gear angani?
kwanini allen unasema hivo unajua kuna kipindi niliwahi kusikia mbowe aliwahi kuwa DJMnajisumbua kwa mbowe!
Tunahitaji CV ya Daud Bashite huyo Makonda unamjua wewe.!
Unaposema sisi ni wewe na nani?othiambo sisi tunachotaka kufahamu ni cv ya mbowe tuu
Hivi 2005 ulikuwa na umri gani?? Maana mbowe aliweka cv yake kwenye manifesto yake alipokuwa anagombea urais. Usituletee ubashite wako hapa bwege wewe.JAMANI WANA JF MLIOPO HUMU NILIKUWA NAPENDA KUFAHAMU YA MWENYEKITI WA CHADEMA AMBAE KWA SASA NI KIONGOZI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI.