Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Mkuu wakati watu wanahangaika na degree Mbowe alikuwa anatafuta pesa, na akafanikiwa kitu kibaya kabisa kwa binadamu ni kuwa shule huna, hela huna, hata akili huna kama walivyo vijana wengi wa lumumba, hamkupata bahat ya kwenda shule, pesa hamkutafuta, kibaya zaidi akili hamna kila siku mnageuzwa mawazo na watu walioshindwa karibu miaka 60 na mnakubali tu. Mbowe ana pesa ambazo unaweza kufa hujawahi pata. Dunia hii either uwe na elimu au uwe na pesa basi.

Leo nilikuwa napitia CV za wabunge wetu katika website ya Bunge Bahati mbaya nilipo msearch Mbowe ili nijionee Education background yake na Mambo mengine ya Kiuongozi nikaona Iko empty kabisa! Sasa najiuliza ni yeye hajapeleka CV. yake au yule anae manage Website ya Bunge alisahau kuiweka? Haina tarehe ya kuzaliwa,wala namba yake ya simu wala anuani yake!

Naombeni ufafanuzi kidogo
695af64ee97acee7df11fa6f0a8e90ae.jpg
 
Bavicha wameanzisha vita ya mawe wakati wana nyumba za vioo kwi kwi kwi
Akili zako fupi sana kama maisha ya funza... mada iliyoanzishwa ilikuwa inahusu nini... mbowe kafanya mangapi na yanaoneka?? Huyu demu wemu ndo mnataka kumlinganisha na mbowe... shutup....acha kujivua nguo kwa upuuzi huu wa kumfanisha mbowe na huyu demu wenu.
 
Mkuu wakati watu wanahangaika na degree Mbowe alikuwa anatafuta pesa, na akafanikiwa kitu kibaya kabisa kwa binadamu ni kuwa shule huna, hela huna, hata akili huna kama walivyo vijana wengi wa lumumba, hamkupata bahat ya kwenda shule, pesa hamkutafuta, kibaya zaidi akili hamna kila siku mnageuzwa mawazo na watu walioshindwa karibu miaka 60 na mnakubali tu. Mbowe ana pesa ambazo unaweza kufa hujawahi pata. Dunia hii either uwe na elimu au uwe na pesa basi.
Pesa za kuuza Chama umezihesabia?
 
Sasa kama hana cha kuweka unataka afanyeje? Alipoulizwa kuhusu elimu akasema ana Primary Education tu. form Four alipata zero. Kuhusu Work Experience akasema hajawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwa DJ pale Bilicanaz.

hizi ndio fikra za misukule wa lumumba
 
Akili zako fupi sana kama maisha ya funza... mada iliyoanzishwa ilikuwa inahusu nini... mbowe kafanya mangapi na yanaoneka?? Huyu demu wemu ndo mnataka kumlinganisha na mbowe... shutup....acha kujivua nguo kwa upuuzi huu wa kumfanisha mbowe na huyu demu wenu.
Leo hii tukiwapa mtihani kati ya Agness na Mbowe na Lema na Kubenea na Sugu unadhani nani ataongoza?
 
Ndio maana unamsujudia mithili ya Nyumbu
Ww unaemdharau, Mbowe ameajiri watu, wanaishi maisha mazuri tu hapa mjini kwa sababu ya kazi za mikono yake. Sasa mwenzangu na mm masikin, kanjanja, asiye na mbele wala nyuma una question elimu yake, how, hiv hamjui kuwa successful entrepeneurs huwa wanakuwa awarded degrees, sababu practically wame demonstrate elimu bila kupitia shule formal, nyie watu mnajua nin dunian hapa.
 
Kumekuwapo na marumbano na utata wa baadhi ya cv za viongoz hasa wabunge leo sitaki ya lema au sugu wala kubenea baada ya Agnes nadhan mbowe inabid cv yake iwekwe wazi

Hapo mbowe vs Agnes ambapo kimsingi. Ana cv nzuri kuliko ya mbowe
Ama vipo
Haya karibu ila povu sipendi kuona manake hakuna aliye ......
1463345669791.jpg
1463345731255.jpg
 
Aaaah mkuu tuna mengi sana ya kuongea,juu ya wanasiasa wa tz ila sasa MODS ndio tatzo mimi nikichangia mada ya siasa BAN inakuja bila ubishi
 
VIJANA WA CHADEMA LETENI NA MATOKEO YA FORM SIX YA MWENYEKITI WENU MBOWE KAMA MNAJIAMINI KWELI.

Ni muda mrefu sasa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ialishashindwa kuwasilisha CV yake ili iwekwe katika Tovuti ya Bunge. MBOWE mara kwa mara amekuwa anaficha CV yake kwa sababu ni mbovu sana, Baada ya kumaliza Form six Pale Ihungo Boys Secondary School Alipata division zero.Baada ya kufeli Form six ndipo alipoamua kuanza kazi ya UDEEJAY katika Klabu ya Baba yake ijulikanayo kama BILICANAS CLUB, kwa hiyo tunapomwita Mbowe kwamba ni DeeJay Zero nadhan mtakuwa mmeelewa nini maana yake.

Ni CHADEMA pekee ndicho chama kinachoongozwa na mwenyekiti Form six failure.
 
VIJANA WA CHADEMA LETENI NA MATOKEO YA FORM SIX YA MWENYEKITI WENU MBOWE KAMA MNAJIAMINI KWELI.

Ni muda mrefu sasa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ialishashindwa kuwasilisha CV yake ili iwekwe katika Tovuti ya Bunge. MBOWE mara kwa mara amekuwa anaficha CV yake kwa sababu ni mbovu sana, Baada ya kumaliza Form six Pale Ihungo Boys Secondary School Alipata division zero.Baada ya kufeli Form six ndipo alipoamua kuanza kazi ya UDEEJAY katika Klabu ya Baba yake ijulikanayo kama BILICANAS CLUB, kwa hiyo tunapomwita Mbowe kwamba ni DeeJay Zero nadhan mtakuwa mmeelewa nini maana yake.

Ni CHADEMA pekee ndicho chama kinachoongozwa na mwenyekiti Form six failure.
Weka ya kwako, ya baba yako, ya mama yako, ya ndugu zako tuone vile vile! Unamshupalia Mbowe tu. Sidhani kama niliowataja hao upande wako wana madgree, yet wamekuzaa na wamekufikisha hapo ulipo na una post humu JF
 
Weka ya kwako, ya baba yako, ya mama yako, ya ndugu zako tuone vile vile! Unamshupalia Mbowe tu. Sidhani kama niliowataja hao upande wako wana madgree, yet wamekuzaa na wamekufikisha hapo ulipo na una post humu JF
Mbona ya ole sendeka mlivumiliwa inakuaje leo mnakua wakali?
Weka na ya Mbowe sasa tuyaone
 
Ndio maana nimeapa kutojihusisha kabisa na siasa za vyama.Ni siasa uchwara ndizo ninazozishuhudia nchi hii.
 
Habari makamanda , mwezi ujao vyuo vingi hapa Dodoma tutafunga vyuo lakini kama mjuavyo , sisi vijana wasomi makamanda tunamkubali sana kamanda wa Anga Mh Mbowe , hivyo tu naomba kwa wajuvi hasa mlioko pale ufipa na n.k mtusaidie , kwani tu naamini CV , Ni moja ya uweledi katika uongozi

Tunafahamu , viongozi wengi wa kiserikali au kivyama CV zao Ni mvuto kwa wafuasi wanaowaongoza ,

CC: Chakaza, Mingoi, Mmawia, Yericko Nyerere, Ben Saanane , BAK , n.k

Natanguliza shukrani
 
Habari makamanda , mwezi ujao vyuo vingi hapa Dodoma tutafunga vyuo lakini kama mjuavyo , sisi vijana wasomi makamanda tunamkubali sana kamanda wa Anga Mh Mbowe , hivyo tu naomba kwa wajuvi hasa mlioko pale ufipa na n.k mtusaidie , kwani tu naamini CV , Ni moja ya uweledi katika uongozi

Tunafahamu , viongozi wengi wa kiserikali au kivyama CV zao Ni mvuto kwa wafuasi wanaowaongoza ,

CC: Chakaza, Mingoi, Mmawia, Yericko Nyerere, Ben Saanane , BAK , n.k

Natanguliza shukrani
Weka ya baba na mama yako tuanzie hapo. Mvuto hauletwi na CV bali utendaji. Nina uhakika CV za wazazi wetu siyo nzuri kisomi mbona tuna mvuto nao. Acha ujinga
 
Back
Top Bottom