Ni akili zao mbovu tu. Hujawah ona utafiti unaonyesha watanzania ni miongoni mwa watu wenye IQ ndogo zaid?
ELIMU YA MBOWE NI ZAIDI YA PHD
Mbowe ni form six failure lakini ni mjanja kuliko watu wenye Phd zao Ukawa. Ona sasa alivoiua NCCR na CUF ndani ya mwaka mmoja. Peter Msigwa aliwahi sema mtu yoyote atakayempigia kura Lowasa akapimwe akili na mimi sidhan kama Mbowe,Mnyika na Lissu wana vichaa kiasi hicho cha kumpigia kura katuni.
Watu wanataka ruzuku alafu mapimbi wamekalia "Lowasa mabadiliko, mabidiliko Lowasa" Poleni sana msiojitambua, hamumjui Mbowe.
UKAWA hakuna ata mmoja mwenye elimu ya uhakika wote wameunga unga