Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Sasa kama hana cha kuweka unataka afanyeje? Alipoulizwa kuhusu elimu akasema ana Primary Education tu. form Four alipata zero. Kuhusu Work Experience akasema hajawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwa DJ pale Bilicanaz.
Doooh majungu haya mkuu
 
Sasa kama hana cha kuweka unataka afanyeje? Alipoulizwa kuhusu elimu akasema ana Primary Education tu. form Four alipata zero. Kuhusu Work Experience akasema hajawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwa DJ pale Bilicanaz.
Sio udj tu,ana miliki pia billcanaz,baba yako ana miliki nini?
 
Punguza povu....si mnataka tujadili elimu za wabunge???

Lete CV ya Mnyika hapa
Rafiki yangu Jingalao, sikujua kama hoja ni kujadili CV za wabunge, maana mimi mwenyewe ningeweza kuileta CV ya Mbowe hapa. Mimi nilichoelewa mjadala ni Kwanini CV ya Mbowe ipo tupu. Sasa wewe anzisha thread ya kujadili CV ya wabunge ili tujadili hilo unalolitaka. Kujadili kwanini CV ya Mbowe haipo haiwezi kuwa na maana sana kwa sababu kuwepo au kutokuwepo sio jambo la lazima au la kisheria. na ndio maana hata CV za baadhi ya wabunge ambao mnaona ni wasomi ziko tupu kama ya Mbowe ilivyo tupu!
 
Leo nilikuwa napitia CV za wabunge wetu katika website ya Bunge Bahati mbaya nilipo msearch Mbowe ili nijionee Education background yake na Mambo mengine ya Kiuongozi nikaona Iko empty kabisa! Sasa najiuliza ni yeye hajapeleka CV. yake au yule anae manage Website ya Bunge alisahau kuiweka? Haina tarehe ya kuzaliwa,wala namba yake ya simu wala anuani yake!

Naombeni ufafanuzi kidogo
695af64ee97acee7df11fa6f0a8e90ae.jpg
Aise mbowe anakuwasha sana eeeh... Mbowe ana akili ....ivi unajua kua umasikini ndio kipimo cha akili... Sasa jilinganishe wewe,familia yako na hata watu wako wa karibu na maisha ya mbowe alafu angalia yupi ana akili kushinda mwezie... Tetete yaani unafta cv ya mbowe.... Kwani hyo ndio kazi yako au.
 
Rafiki yangu Jingalao, sikujua kama hoja ni kujadili CV za wabunge, maana mimi mwenyewe ningeweza kuileta CV ya Mbowe hapa. Mimi nilichoelewa mjadala ni Kwanini CV ya Mbowe ipo tupu. Sasa wewe anzisha thread ya kujadili CV ya wabunge ili tujadili hilo unalolitaka. Kujadili kwanini CV ya Mbowe haipo haiwezi kuwa na maana sana kwa sababu kuwepo au kutokuwepo sio jambo la lazima au la kisheria. na ndio maana hata CV za baadhi ya wabunge ambao mnaona ni wasomi ziko tupu kama ya Mbowe ilivyo tupu!
Kwa nini usiilete tuione na tuijadili...acha mikwara Mbuzi...weka CV ya mbowe hapa
 
Huyu Agness naye ni kichekesho primary umemaliza 1994 ,secondary unasoma 2014
 
Aaa huwezi jua bana labda kuwa DJ ilikuwa ni ndoto yake tangu utotoni kwa hiyo shule kwake ilikuwa kama analazimishwa tu.
Ni vizuri kuwa mkweli ....hatupingi kipaji chake che ku-scratch ...tunahojiana na hawa bavicha-4U wanaoleta hoja za elimu ya wanasiasa bila kujua huko chadema ni kusanyiko la wapiga dili wenye elimu ya mashaka
 
Afadhali huyo mbunge mwenye Div IV. Inasemekana mhweshimiwa ana Div "0" ya A level
 
Vilaza wanafichaga hayo mambo, bora sugu tunajua mission town tu! Ila wenye elimu kama kina professor safari kuongozwa na mbowe kunataka moyo sana aisee
 
Kwa nini usiilete tuione na tuijadili...acha mikwara Mbuzi...weka CV ya mbowe hapa
Anzisha hiyo thread hapa mjadala ni jambo jingine. Hiyo thread kama ambavyo tayari umeishapendekeza haitajadili CV ya Mbowe peke yake, bali itajadili CV za wabunge wote waliofeli kama tafsiri yako ilivyo.
 
Ni vizuri kuwa mkweli ....hatupingi kipaji chake che ku-scratch ...tunahojiana na hawa bavicha-4U wanaoleta hoja za elimu ya wanasiasa bila kujua huko chadema ni kusanyiko la wapiga dili wenye elimu ya mashaka

Kipaji cha 'ku-scratich' amebarikiwa sana Mh. Mbowe.
 
Leo nilikuwa napitia CV za wabunge wetu katika website ya Bunge Bahati mbaya nilipo msearch Mbowe ili nijionee Education background yake na Mambo mengine ya Kiuongozi nikaona Iko empty kabisa! Sasa najiuliza ni yeye hajapeleka CV. yake au yule anae manage Website ya Bunge alisahau kuiweka? Haina tarehe ya kuzaliwa,wala namba yake ya simu wala anuani yake!

Naombeni ufafanuzi kidogo
695af64ee97acee7df11fa6f0a8e90ae.jpg
We sasa unataka aweke nini, Elimu yake ndio zile za "Hapa na pale"
 
There is NOTHING to be published. .. the empty cv reflects him ...!
 
Back
Top Bottom