maamuzi sahihi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 288
- 165
Doooh majungu haya mkuuSasa kama hana cha kuweka unataka afanyeje? Alipoulizwa kuhusu elimu akasema ana Primary Education tu. form Four alipata zero. Kuhusu Work Experience akasema hajawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwa DJ pale Bilicanaz.



