Kwa kweli haieleweki hata kdogo 15 mins nimeshndwa kuielewa
Nyumbu hawahitaji elimu yoyote kuwaongoza yaani wewe ni kutoa ishara tu.Jamaa pamoja na kuwa alipata ziro form six lakini namsifia sana kuweza kawongoza nyumbu wengi tu, hawana ujanja kwake.
Nyumbu hawahitaji elimu yoyote kuwaongoza yaani wewe ni kutoa ishara tu.
uongo fani yako? mimi najua form four alifauru vizuri kabisa div1!Sasa kama hana cha kuweka unataka afanyeje? Alipoulizwa kuhusu elimu akasema ana Primary Education tu. form Four alipata zero. Kuhusu Work Experience akasema hajawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwa DJ pale Bilicanaz.
Shule gani hiyo?yaani afaulu kiasi hicho halafu achague u-DJ?uongo fani yako? mimi najua form four alifauru vizuri kabisa div1!
USSR hebu weka CV yako tuione tulinganishe na ulichoandika hapa! Mimi ninachoamini kufeli kidato cha nne au cha sita haimaanishi wewe ni mjinga mno kama unavyojaribu kutuaminisha hapa. Kwa kuwa wakubwa wako ndani ya CCM wana uelewa kuliko wewe ndio maana wamempa usemaji wa chama Ole Sendeka bila kujali kwamba alifeli kidato cha sita. Andiko lako linaakisi wewe inawezekana ulifeli kuliko Mbowe, unang'ang'ania CV ya mtu ambaye mambo aliyoyafanya yanajieleza yenyewe, na bila shaka nje ya hapa JF unamkubali!Zero unaindikaje kwa KUB na kiongozi wa vyama vitano vya upinzani nchini ni aibu kwa taifa kuwa na mbadala wa waziri mkuu mjinga aliyepata division zero shuleni:
niabu kwa wanachadema wanajiona wasomi huku wakiongozwa na mjinga aliyepata sifuri shuleni eti ataleta mabadiliko.
Ni upuuzi kwa vijana wa ukawa kumtaja mbunge aliyepata division four huku wao wakiongozwa na mwenye zero
Punguza povu....si mnataka tujadili elimu za wabunge???USSR hebu weka CV yako tuione tulinganishe na ulichoandika hapa! Mimi ninachoamini kufeli kidato cha nne au cha sita haimaanishi wewe ni mjinga mno kama unavyojaribu kutuaminisha hapa. Kwa kuwa wakubwa wako ndani ya CCM wana uelewa kuliko wewe ndio maana wamempa usemaji wa chama Ole Sendeka bila kujali kwamba alifeli kidato cha sita. Andiko lako linaakisi wewe inawezekana ulifeli kuliko Mbowe, unang'ang'ania CV ya mtu ambaye mambo aliyoyafanya yanajieleza yenyewe, na bila shaka nje ya hapa JF unamkubali!
Kasimba G,uongo fani yako? mimi najua form four alifauru vizuri kabisa div1!
We unadhani kuandaa kipindi kama cha DJ show ni jambo dogo ?lazima ulimi utelezeMbowe hana phd ya kusoma chemistry kwa kiswahili ila hawezi kuongea kiingereza cha ajabu "am a politicians" aibu tupu.