Wasichana /Wanawake wenzangu

Wasichana /Wanawake wenzangu

Yeah nikweli mwanamke hubadilushwa na mwanaume alienae. hata kama huyo mwanamke awe mtata kiasi gani mwanaume akisimamia shoo anakua mtiifu na anatekeleza asemayo mwanaume
Ok, ila ni vizuri mkatulia, na kubadilika wenyewe bila kusubiri kubadilishwa, wanaume tuna majukumu mengi sana sasa linapoingia suala la kumrekebisha mwanamke kama mtoto dah! wengi wanapotezea na kuonekana hawajali kumbe sivyo
 
Njoo ichukuliwe zawadi. ..wanawake wengi hasa wanaojiita wasomi wanafeli ktk ndoa kwa ujinga wa kuamini elimu waliyoipata vyuoni ndio kila kitu kwao, ndoa zinadumu endapo wanandoa wote mtazifuata na kuzisimamia "marriage ethics "
 
Ok, ila ni vizuri mkatulia, na kubadilika wenyewe bila kusubiri kubadilishwa, wanaume tuna majukumu mengi sana sasa linapoingia suala la kumrekebisha mwanamke kama mtoto dah! wengi wanapotezea na kuonekana hawajali kumbe sivyo
Usichoke wala kumkatia tamaa ofcoz nikweli sometimes sisi nikama watoto.. Nikikosa nieleweshe nielekeze
 
Njoo ichukuliwe zawadi. ..wanawake wengi hasa wanaojiita wasomi wanafeli ktk ndoa kwa ujinga wa kuamini elimu waliyoipata vyuoni ndio kila kitu kwao, ndoa zinadumu endapo wanandoa wote mtazifuata na kuzisimamia "marriage ethics "
And that's what costs us women!
 
Msimamo ndio nini?
Nadhani kiburi ni sehemu ya "msimamo"
 
Back
Top Bottom