Wasichana /Wanawake wenzangu

NATAMANI MKE WANGU ASOME HII THREADY LAKINI KWAVILE AMEFUNGA MASIKIO NA KIBURI AKILINI MWAKE NAJUA KUNA SIKU ATANIKUMBUKA,NDOA NI LAANA NA NI BARAKA,KWA ANAYEVUNJA MAKSUDI HUAMBATANA NA LAANA
NAWASILISHA,,
Pole mkuu kwa huyo mwanamke wako aliyefunga masikio! Ndoa ndio chanzo cha Furaha na wakati huo huo kinaweza kuwa chanzo cha huzuni maishani!
 
Ungejua tuuu kuwa mwanamke huishi kulingana na matakwa ya mwanamke hata usingezungumza yote haya.


Mwanamke ni mama wa mtoto mkubwa wa kiume, ni jukumu lake kumchagulia malezi
"Mwanamke huishi kulingana na matakwa ya mwanamke" Nieleweshe hapa mkuu umeniacha njia panda.

Halafu pia mwanamke ndio anayemchagulia maisha huyo mtoto wake mkubwa wa kiume? Kivipi? Yaani Mme achaguliwe maisha na mke wake? Au sijaelewa vizuri labda. Napo naomba ufafanuzi kidogo pengine nami nijifunze.
 

Kwanza ni kile, nilikosea , ilipaswa iwe hivi,...
"""""' mwanaume huishi kulingana na matakwa ya mwanamke"""
Hii nadhani yenyewe utata wake umeisha.

Yaa wanaume tunachaguliwa namna ya kuishi na wanawake,
Mwanamke ndio hutoa malezi kwa mwanaume hasa katika kila nyanja.
Mathalani:-
Kuelewana/kutoelewana sana na majirani hutengenezwa na mwanamke, usafi au uchafu kwa ujumla hutegemea mwanamke, kipato kwa asilimia kubwa hutegemea mwanamke., nguvu na molari za kufanya kazi hutegemea mwanamke, furaha au huzuni nyumbani humtegemea sana mwanamke
N.k nyingi

Ukitaka mafanikio huwezi mkimbia mwanamke.
 
Hii inahusika pande zote mbili.
Hapo kwenye kunyenyekea mmhhh

Hapana aisee.
 
Inawezekana umejificha kwenye story kumbe ww ni single mother's.
If so. What's the problem then??? Sili???? Sinyi???? Sivai???? Sigegedwi????? Sipendwi??????? Sitamaniwi??????? Wapi shhiddddah!???
 
Kama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki
Aisee wapo, mfano mzuri ni mke wangu. Hivyo vigezo vyote anavyo na sifa zingine nzuri ambazo hakutaja. Maisha swafi kabisa.
 
Namba 13 hapa wengi wanafeli kwa kuongopewa na maumbo yao na hii ndio imepelekea kuvunja mahusiano na mwanamke nilie tokea kumpenda kwa dhati sana
 
Mh. Kama hayajakukuta bhasi[emoji134] [emoji134]
Mkuu inakuaje hiyo? Mapenzi anayostahili kupewe baba/mama ni tofauti na mapenzi ya watoto. Sio kweli kwamba watoto wanachukua mapenzi ya baba au mama, hii ni kisingizio tu. Huyo mtu akichunguzwa vizuri utagundua kuna mchepuko anampa mahaba.
 
Mbona masuala ya Mungu sijayaona hapo? Hilo ndilo la msingi zaidi, ukizingatia hilo kwa dhati mengine yanafuata tu.

Alafu ikumbukwe mke ni reflection ya mumewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…