Wasichana wambea

Wasichana wambea

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,362
Wasichana wambea wakiongea.

Girl 1~~~Mwaya nimeolewa

Girl 2~~~Oh,hiyo ni nzuri dia

Girl 1~~~No,siyo nzuri ni mbaya,mana ana sura mbaya.

Girl 2~~~~Oh kama hivo ni mbaya kweli

Girl 1~~~No si mbaya mana ni tajiri.

Girl 2~~~Oh,basi ni nzuri

Girl 1~~~No ni mbaya,mana huwa hanipi hela

Girl 2~~~Oh hiyo ni mbaya

Girl 1~~~Si mbaya mana ameninunulia nyumba nzuri

Girl 2~~~oh hiyo ni nzuri

Girl 1~~~~siyo nzuri mana nyumba iliungua

Girl 2~~~Oh hiyo ni mbaya

Girl 1~~~~No siyo mbaya,mana nyumba ilipoungua ye alikuwa ndani wakaungua wote.
 
duh hawaeleweki but eti still they run this mother f**k world
 
Wasichana wambea wakiongea.

Girl 1~~~Mwaya nimeolewa

Girl 2~~~Oh,hiyo ni nzuri dia

Girl 1~~~No,siyo nzuri ni mbaya,mana ana sura mbaya.

Girl 2~~~~Oh kama hivo ni mbaya kweli

Girl 1~~~No si mbaya mana ni tajiri.

Girl 2~~~Oh,basi ni nzuri

Girl 1~~~No ni mbaya,mana huwa hanipi hela

Girl 2~~~Oh hiyo ni mbaya

Girl 1~~~Si mbaya mana ameninunulia nyumba nzuri

Girl 2~~~oh hiyo ni nzuri

Girl 1~~~~siyo nzuri mana nyumba iliungua

Girl 2~~~Oh hiyo ni mbaya

Girl 1~~~~No siyo mbaya,mana nyumba ilipoungua ye alikuwa ndani wakaungua wote.

Girl1-duh iyo mbaya sana shosti

Girl2-sio mbaya shosti maana nyumba yenyewe nimeichoma mimi,ila nimekomba hela zote kwenye akaunti

Girl1-oh,basi nzuri iyo

Girl-sio nzuri maana hela zote kakimbia nazo yule bwanaangu 'serengeti boy' Juma

Girl2-aaahaa!kale ka-Juma nakajua mie sikapendi,kanajiskia sana,anajiona bramamen sana..hiyo mbaya sana shosti

Girl1-sio mbaya shosti,juzi usiku Juma kanipigia simu anaomba turudiane,anasema ananipenda anataka kunioa,ila nimpe lile Benz aliloacha mume wangu atembelee

Girl2-waoooh,iyo nzuri shosti
 
teh teh iyo inatakiwa iendelezwe nadhani.
Inafaa kuendelezwa
 
Hata kama ana sura baya na viguu kama fito, we mkubali hvyo hvyo sasa kama ukimkataa ni lini utaendesha gari??
 
Wasichana wambea wakiongea.

Girl 1~~~Mwaya nimeolewa

Girl 2~~~Oh,hiyo ni nzuri dia

Girl 1~~~No,siyo nzuri ni mbaya,mana ana sura mbaya.

Girl 2~~~~Oh kama hivo ni mbaya kweli

Girl 1~~~No si mbaya mana ni tajiri.

Girl 2~~~Oh,basi ni nzuri

Girl 1~~~No ni mbaya,mana huwa hanipi hela

Girl 2~~~Oh hiyo ni mbaya

Girl 1~~~Si mbaya mana ameninunulia nyumba nzuri

Girl 2~~~oh hiyo ni nzuri

hiyo mbaya ah no nzuri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom