Wasichana wa Kichina

Wasichana wa Kichina

Pole sana mkuu,mi nilibahatika kukaa china ckukutana na kitu kama hicho.may be kwasababu ya muda mfupi niliokaa miezi mitatu au may be miji niliokaa au kwakuwa nilikuwa nawakilisha TZ kama officer fulani..nilikaa jimbo moja linaitwa Xiamen ni coast fulani..baadaye tukaja Xian na hatimaye beijing ckupata kubaguliwa hata kidogo frankly speaking......Tena nime make a lot of chinese friends and when i was introduce myself aisee walikuwa wanafurahi sana coz of our long history relationship..ilikuwa muda kidogo mwaka 2009..Sema kama mdau aliyekushauri hapo awali achana na mambo hayo piga kitabu muda ukifika rudi nyumbani ujenge taifa..!
 
Mkuu kama wanakunyanyapaa kwa sababu tu ya rangi yako nyeusi nakushauri umeze CAROLYTE ndani ya mwezi mmoja tu unyanyapaa kwishney.
 
Hata Tanzania unaweza kubaguliwa, inategemea na mtu mwenyewe ulivo.
Inategemea na mtu mwenyewe ulivo, na sifa mbaya ya ile kabila ulio tokea.
Na waafrika wengi wanamatendo yasio mazuri, waongo, wezi, matapeli nk.

Na rafiki yangu akilalamika anabaguliwa na wazungu na kutukanwa.
Nilipo mzoea nikajua kua anatabia ya wizi, kujithaminisha, uongo, ukahaba, na maringo, nikagundua ndio maana wanambagua.
Mwisho mpaka na mimi nikaanza kumbagua.

Msema kweli ni mpenzi wa mungu.
 
una umri gani wewe? umefikirisha akili kidogo kabla ya kuchangia? Tumia busara katika maandiko yako. Unaita huu umbea?
Nina umri mkubwa kuliko wewe, mleta mada, na anaeongelewa kwenye mada. Ukishughulisha akili yako utaiona busara iliyosheheni kwenye maandiko yangu ya awali.
 
Hata hapa Tz Wakija wanubi kuishi nanyi mtawabagua tu manake ni wagumu weusi asilia...

Binadamu wote ni Wabaguzi... hapa Duniani... Tunasoma hata kwenye vitabu vitakatifu Weusi walilaaniwa baada ya ghalika ya nuhu uzao wa mtoto mmoja wa Nuhu kumcheka Babake akiwa amelewa na akicheza cheza uchi...

Mwamedi alidiriki kusema Shetani anafanana na mtu mweusi.... Black haitakaa sawa hadi iwe nyeupe... Michael Jackson alikubalika baada ya kubadilika na kuwa mweupe.. alipendwa kote hadi huko china na india hadi leo hii anapendwa ... kama hamtaki kubaguliwa mkorogo ndio dili...
Mzee tupe kifungu kinachosema mwamedi alisema shetani anafanana na mtu mweusi.
 
Back
Top Bottom