Wasichana wa Kichina

Wasichana wa Kichina

Tulia kibaravumba, melanin ni muhimu, bila hio haungeweza kuishi Africa, Wanzungu na wale ambao hawana melanin (inakupa rangi nyeusi ) wanaitamani iliwaweze kujianika kwenye jua bila kuwa na hatari ya kupata saratani ya ngozi ndiposa wanatumia sunsreen na mashini ya ku-tone ngozi zao.

Ili Africa iheshimiwe na dunia ni lazima tujenge Africa.
 
Inasikitisha nn mkuu, kulaaniwa na Mungu tunaemwabudu through laana ya Nuhu aliekuwa kalewa au,

Me naona tusisikitike, take it as changamoto, blackmen should make our homes a good place to live, respect will follow.
 
Ninavyoona mimi, mwandishi wa makala hii anaitwa Njonjo Mfaune, Slim5 kaicopy kutoka gazeti la Raiamwema na kuibandika hapa ili tuisome.

pitia huo uzi wa huyo ndg mwanzo mpaka mwisho,acha kukurupuka
 
Baseless points, unapayuka mastusi ambayo yanamhusu mwanaadamu (umetukana wazazi wote) matusi ni ibadaa kwako.
Kwa uislam wako dhahili hebu onesha tusi lolote nililo andika hapo na ukikosa basi uislam ni taasisi inayofundisha watu kusema uongo na ni taasisi ya ugaidi na watu wasiofahamu kitu zaidi ya kubuni buni tu maneno na ushabiki.... mtume wenu anastahili adhabu ya moto wa milele kwa kuwapotosheni na upotoshaji wake unaendelea kuwafikia vizazi vinavyozaliwa.... mmekuwa hamjui mnachokiongea kwa sababu ya mafundisho ya Allah na muhammed...
 
Ulichoandika hapo nadhani hujielewi ila umeandika kujaza maneno maneno yaonekane mengi ila huna la maana uliloandika pole sana mdada... Comment za kibaguzi si ubaguzi uliouanzisha nyie mnadhani mtachekewa hadi kiama chenu... pole Yesu alipokuja alichange vitu vingi ili kila kitu kiwe sawa ila ubishi ndio unaendelea hadi leo na ni ngumu kuisha kuna wanaokubali kubaguliwa na kuna wale wanaokataa kama mimi so usinione kuwa abuse nope ni kwa sababu yenu hasa nyie waarabu mliendelea sana kubagua weusi...sidhani kama nitakuja wapenda kabla hamjaacha ubaguzi wenu... hiyo ya muhammed sitoaacha kuisema kwani ni kweli ila nyie mnaficha ficha hamuiweki wazi na mkiwekewa wazi mnasema abuse uchochezi matusi n.k cha muhimu acheni tabia yenu mbaya muone kama kutakuwa na tatizo... Watoto wa Waarabu wengi waliotoka Zanzibar na sehemu nyingi za pwani ya Africa walikataliwa kurejea Arabuni kwa sababu rangi zao zilikuwa na weusi wakabakia na wengi waliitwa Wamanga ambao ndio nyie Afro arabia... Ubaguzi haukuanzia jana wa juzi tokea miaka ya mwanzo kabisa... na huu ulikuwa ni mpango wa Mungu pale binadamu walipokuwa wanaelewana sana na kutaka kumfikia Mungu Babylon Tower haya ni matokeo ya binadamu wasielewane ili kumdhihaki Mungu.

Hizo Blood zenye damu ni damu yako ya huko chini au unamaana damu ipi? kuwa mwangalifu na dini yako ya ajabu ya Mungu Mwezi...Allah... huyo Mweusi aliyediriki kujitosa baharini ni kwa Utashi wake....wapo wanaokubali na wapo wanaokataa ubaguzi... Yesu alisema Mpende Jorani yako kama unavyojipenda...
Asante FYI, Kazi ya Mungu haina makosa Mungu anaumba atakavyo !!!! wewe endelea na kunitukana.
 
Wachina wana ubaguzi wa hali ya juu na wapo kimaslahi zaidi, huwa nashindwa kuelewa hadi sasa kwa nini serikali yetu huwa inataka kuwaaminisha Watanzania kuwa watu hao ni marafiki wetu wa enzi.

Tuliopata kuishi huko, kufanya kazi huko tunawajua fika kuanzia namna wanavyowaza, namna wanavyotenda na hata maamuzi yao.

Makala hii imeandika mambo mengi ya kweli, imenikumbusha namna ambavyo Mchina mmoja nikiwa Beijing alivyonishangaza kwa swali la kipuuzi.

"Hivi kwa weusi huu wa ngozi zenu mkiwa mnatembea huko kwenu huwa hamgongani?", aliniambia mwanadada mmoja wa Kichina.

Mwanzoni nilitaharuki kwa swali hilo lakini nikapiga moyo konde na kumuuliza, "Ni shi shenme yisi?" nikiwa na maana "Ni nini nia ya swali lako?"

Mwanadada yule akaniambia, "Wengi wa Wachina huwa wanaamini kuwa kwa weusi wa Waafrika basi nyakati za usiku huenda huwa hamuonani na hata wakati wa kutembea mnagongana gongana tu".

Unaweza kucheka au kushangaa lakini ndio ukweli huo...

Mkuu hawa jamaa reasoning yao ni ndogo sana kwa ajili ya kukosa exposure. Kuna dogo wetu mmoja aliulizwa hivi na wewe damu yako ni nyekundu? Dogo akamwambia sisi hatuna damu ni maji tu.
 
Ubaguzi ni suala ambalo liko social constructed issue, kwamba Obama anapokuwa US anaitwa mweusi isipokuwa akiwa Brazil anaitwa mzungu.

Hii inathibitisha kwamba ubaguzi ni namna mtu anavyoweza kutafsiri tu kile kitendo, matamshi, au alama kwamba ni ubaguzi...for instance kuna mchezaji mmoja mweusi wa galatasaray huko majuu aliwahi kurushiwa ndizi barabarani dhumuni likiwa atafsiri kitendo kwamba yeye ni nyani toka Africa, hawakujua jamaa alikuwa imara zaidi kisakolojia juu ya perceptions, njemba bila kusita aliokota ndizi akaimenya na kuila papo hapo. Huku akiwasalimia kwa kuwapa mikono kiungwana kabisaaa. Hakuna hata mmoja aliebaki wote kwa aibu walitoweka na waandishi wa habari wakamzonga jamaa kutaka kujua amepata wapi ujasiri huo?

Unadhani nini tunajifunza kutoka kwa huyu njemba shupavu na kindakindaki?
Well behaved !!
 
hivi kwanini unaquote uzi mzima watu tushasoma uzi hivo we comment tu tutaelewa

Usinilazimishe kuandika chochote kama unavyotaka wewe!! humu ndani ni uhuru wa kujieleza ukiona huwezi soma herufi zangu samarise zako na usome! wenye kutaka kusoma zangu wamesha like kama ninavyopenda kusoma zao!
 
sijui umeandika lugha ya wapi hiyo maana hata mbinguni haiko
au unani😛hoto: kwa kikwenu hebu andika lugha inayoeleweka hapo


nilikuwa naku..
love-wallpaper-background.jpg
 
Mkuu hawa jamaa reasoning yao ni ndogo sana kwa ajili ya kukosa exposure. Kuna dogo wetu mmoja aliulizwa hivi na wewe damu yako ni nyekundu? Dogo akamwambia sisi hatuna damu ni maji tu.

alimpatia sana kwa jibu hilo,ndio dawa hiyo the same applied kwa wazungu wakituambia sisi manyani na sisi tunawaambia wao manguruwe wakimwaga ugali na sisis tunamwaga mboga
 
Rudini makwenu la sivyo mtabaguliwa miaka Mia.
Nalog off

wao mbona hawarudi makwaotupo na leo miaka kenda,maisha popote bana.by the way ni bora tuwafuate wapate kutujua na kuelewa info zetu tofauti na wanavyodanganyana hivyo eti wnafikiri tunaishi maporini na wanyama,mara wengine wanajua afrika nzima ni vita tu hamna sehemu yenye amani
 
Back
Top Bottom