General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Nimekuwa nikijiuliza inakuaje msichana kutafuta mume kwenye social media?
Tatizo linakuwa ninini hasa?
Je mlikuwa mnachagua sana?
Mnasura mbaya?
Umri umewatupa?
Yani huwa naogopa mtoto wa kike kusaka mwenza wakati wanaume wengi wapo mtaani tena wachokozi kweli.
Embu mtupe sababu kwanza.
Tatizo linakuwa ninini hasa?
Je mlikuwa mnachagua sana?
Mnasura mbaya?
Umri umewatupa?
Yani huwa naogopa mtoto wa kike kusaka mwenza wakati wanaume wengi wapo mtaani tena wachokozi kweli.
Embu mtupe sababu kwanza.