Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,973
- 6,606
Anachagua wasio type yake.Kwani wewe huonekani?
Kwann usitongozwee?
Au unachagua?
Anachagua wasio type yake.Kwani wewe huonekani?
Kwann usitongozwee?
Au unachagua?
Umejifungia ndaniinategemea mazingira nayoishi sikutani kabisa na wanaume
Umewatetea hapaIli swali nilikuwa ninajiuliza, nikakaa nikatafakali nikapata haya majibu
1, Wanawake wengine wanaotafuta wanaume huwa wamepoteza sana mda kwenye Elimu, na walikuwa wanadhalau wanaume kipindi wanasema, Maana walikuwa Hawai'i umuhimu wao kipindi icho
2: smart women, hili halina ubishi wanaume hatupendi wanawake watawala yeye kila kitu anajua, pia Ana Elimu kubwa, anapesa nyingi, hawa Mara nyingi wanadhalau wanaume na hujikuta wanafikisha umri wa kuolewa hana hata mchumba
3; busy, kuna wanawake wako busy na shughuli za kiofisi au binafsi na hujikuta Hawana mda na wanaume, wanakuja kustuka mda nao ushawatupa mkono
4: Tamaa, uMalaya na wizi
6: kuteswa na mapenzi, Tabia ya mwanamke anakaa kitu moyoni ata miaka Kimi, wengi huwa wanateswa na kukata Tamaa ya kupenda na wakija kutulia na kufikilia kupenda umri ushaenda na idad ya wanaume wanaomtongoza ishapungua
Siku hizi wao kwa wao wanaogopana..!Hii kali.
Ila ukiona mchaga anatafuta mme kanisani huyo ni mbovu.
Wengi wangi wako namba 4Umewatetea hapa
Umesahau mkuu pia ni majangiriwanawake wanaotafuta wanaume mitandaoni wengi wao wezi na matapeli!
Natafuta mrembo,wewe bado hujaamua tu,lakini una kila kitu cha kupagawisha akina sisi,hasa hapo kwenye avatar umetokea raha sana,yaani kitu na box,sio mchezooo.inategemea mazingira nayoishi sikutani kabisa na wanaume
kuchagua sana inatokana na wote wanaokuja kuwa wabovuJibu ni moja tu unachagua sana.
Chema.....kibaya......Nimekuwa nikijiuliza inakuaje msichana kutafuta mume kwenye social media?
Tatizo linakuwa ninini hasa?
Je mlikuwa mnachagua sana?
Mnasura mbaya?
Umri umewatupa?
Yani huwa naogopa mtoto wa kike kusaka mwenza wakati wanaume wengi wapo mtaani tena wachokozi kweli.
Embu mtupe sababu kwanza.
Una elfu kumi nikupe bukuukweli ni kwamba wanawake weng wanapoteza muda kwa wanaume ambao hawana nia nao wakiamini labda watabadilika au watajifunza kuwapenda, by the time wanazinduka miaka ishaenda. sie wanaume tukiona demu haeleweki tunasepa bila majadiliano. uvumilivu ndo unawacost wanawake sio kwamba wanachagua au wana matatizo la hasha..tatizo ni wanaume waharibifu wanawapotezea muda wao. Nashkuru Mungu sijawahi mpotezea muda mwanamke kuna laana ndani ya kitendo hicho boss kwa sie wakristo tunaaamini hivo
yani mkuu umeongea point sana.....!?that's trueukweli ni kwamba wanawake weng wanapoteza muda kwa wanaume ambao hawana nia nao wakiamini labda watabadilika au watajifunza kuwapenda, by the time wanazinduka miaka ishaenda. sie wanaume tukiona demu haeleweki tunasepa bila majadiliano. uvumilivu ndo unawacost wanawake sio kwamba wanachagua au wana matatizo la hasha..tatizo ni wanaume waharibifu wanawapotezea muda wao. Nashkuru Mungu sijawahi mpotezea muda mwanamke kuna laana ndani ya kitendo hicho boss kwa sie wakristo tunaaamini hivo
Tena mjambazi wakubwa hawa.Umesahau mkuu pia ni majangiri
Una elfu kumi nikupe buku