Wasichana mnao tafuta wenza, tatizo ninini hasa?

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,302
23,020
Nimekuwa nikijiuliza inakuaje msichana kutafuta mume kwenye social media?

Tatizo linakuwa ninini hasa?
Je mlikuwa mnachagua sana?
Mnasura mbaya?
Umri umewatupa?

Yani huwa naogopa mtoto wa kike kusaka mwenza wakati wanaume wengi wapo mtaani tena wachokozi kweli.

Embu mtupe sababu kwanza.
 
Nimekuwa nikijiuliza inakuaje msichana kutafuta mume kwenye social media?

Tatizo linakuwa ninini hasa?
Je mlikuwa mnachagua sana?
Mnasura mbaya?
Umri umewatupa?

Yani huwa naogopa mtoto wa kike kusaka mwenza wakati wanaume wengi wapo mtaani tena wachokozi kweli.

Embu mtupe sababu kwanza.

ukweli ni kwamba wanawake weng wanapoteza muda kwa wanaume ambao hawana nia nao wakiamini labda watabadilika au watajifunza kuwapenda, by the time wanazinduka miaka ishaenda. sie wanaume tukiona demu haeleweki tunasepa bila majadiliano. uvumilivu ndo unawacost wanawake sio kwamba wanachagua au wana matatizo la hasha..tatizo ni wanaume waharibifu wanawapotezea muda wao. Nashkuru Mungu sijawahi mpotezea muda mwanamke kuna laana ndani ya kitendo hicho boss kwa sie wakristo tunaaamini hivo
 
Ukweli ni kwamba picha nyingi za hao wadada sio wadada kweli ila ni watu wenye nia ya uchunaji najua unajua namaanisha nini, kiufupi matapeli, ukiona hivyo jaribu kufanya uchunguzi zaidi utuambia umepata nini.
 
Nimekuwa nikijiuliza inakuaje msichana kutafuta mume kwenye social media?

Tatizo linakuwa ninini hasa?
Je mlikuwa mnachagua sana?
Mnasura mbaya?
Umri umewatupa?

Yani huwa naogopa mtoto wa kike kusaka mwenza wakati wanaume wengi wapo mtaani tena wachokozi kweli.

Embu mtupe sababu kwanza.
Ili swali nilikuwa ninajiuliza, nikakaa nikatafakali nikapata haya majibu
1, Wanawake wengine wanaotafuta wanaume huwa wamepoteza sana mda kwenye Elimu, na walikuwa wanadhalau wanaume kipindi wanasema, Maana walikuwa Hawai'i umuhimu wao kipindi icho
2: smart women, hili halina ubishi wanaume hatupendi wanawake watawala yeye kila kitu anajua, pia Ana Elimu kubwa, anapesa nyingi, hawa Mara nyingi wanadhalau wanaume na hujikuta wanafikisha umri wa kuolewa hana hata mchumba
3; busy, kuna wanawake wako busy na shughuli za kiofisi au binafsi na hujikuta Hawana mda na wanaume, wanakuja kustuka mda nao ushawatupa mkono
4: Tamaa, uMalaya na wizi
6: kuteswa na mapenzi, Tabia ya mwanamke anakaa kitu moyoni ata miaka Kimi, wengi huwa wanateswa na kukata Tamaa ya kupenda na wakija kutulia na kufikilia kupenda umri ushaenda na idad ya wanaume wanaomtongoza ishapungua
 
ukweli ni kwamba wanawake weng wanapoteza muda kwa wanaume ambao hawana nia nao wakiamini labda watabadilika au watajifunza kuwapenda, by the time wanazinduka miaka ishaenda. sie wanaume tukiona demu haeleweki tunasepa bila majadiliano. uvumilivu ndo unawacost wanawake sio kwamba wanachagua au wana matatizo la hasha..tatizo ni wanaume waharibifu wanawapotezea muda wao. Nashkuru Mungu sijawahi mpotezea muda mwanamke kuna laana ndani ya kitendo hicho boss kwa sie wakristo tunaaamini hivo
Wanajipendekeza kwa wanaume wenye mali wanaishia kuliwa tu.
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom