Washawasha polisi wavua nguo

Washawasha polisi wavua nguo

attachment.php
 
hivii huwa ni chemically gani hiyo,,,,mpaka polis kuvua nguo,ujue hiyo ni kifaa kizuri kwa kuzima ghasia.

jk analiacha jeshi la polisi likiwa well eguiped kama New York Police Department(NYPD)
 
Nadhani hawa siku wakitaka kuwamwagia watu, watakuwa wanawaza mara mbili, mungu kawaponya raia wasio na hatia
 
Leo asubuh ikiripotiwa nimecheka sana tn sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, hivi kumbe yakiletwaga huwa hawafanyii mazoezi kujuwa radha yake kama wanavyofanya mazoezi ya shabaha wanaenda kutest kwa waliowasaidia leo. Sasa wakawaeleze wenzao jinsi wanavyotesaga raia.
 
kwa jinsi nilivyomsoma jamaa!!, alitamani sana Jeshi lifanane na Majieshi ya nchi zilizoendelea, akasahau kuwa hii ni TANZANIA!!.
mbaya zaidi alitamani hata kuendelea kuongoza kwa mabavu...... lakini muda ndio hivyo tena umeshamuacha!!.





hivii huwa ni chemically gani hiyo,,,,mpaka polis kuvua nguo,ujue hiyo ni kifaa kizuri kwa kuzima ghasia.

jk analiacha jeshi la polisi likiwa well eguiped kama New York Police Department(NYPD)
 
Wacha yakongoroke na kutumbukia katika mashimo. Wamelaaniwa walioyaleta, pamoja na magari yenyewe! Siku ya kukabidhi magari haya, jamaa alijisifia bila aibu, eti kwa kazi ya kuleta magari ya washawasha! Badala ya kuleta vifaa vya hospitali na dawa za kutibu wagonjwa katika hospitali zetu, Kikwete analeta magari ya washawasha, na kujisifia! Tutakukumbuka kwa jinsi ulivyotutesa Watanzania!

Wangetiwa kibiriti
 
Back
Top Bottom