Washawasha polisi wavua nguo

Washawasha polisi wavua nguo

Mungu hapendi wanavyowafanyia wanachi
 
Wakati mwingine Mungu ni wa ajabu sana. Heby fikiria mtu alitaka kuumua nyani aliyekuwa anakula mahindi yake shambani , akamvizia , akavuta mshale akampiga. Kwenda kuangalia akakuta kumbe sio nyani ni mwanae mpendwa.
 
hivii huwa ni chemically gani hiyo,,,,mpaka polis kuvua nguo,ujue hiyo ni kifaa kizuri kwa kuzima ghasia.

jk analiacha jeshi la polisi likiwa well eguiped kama New York Police Department(NYPD)

Unalinganisha nyumba ya tope na ghorofa za dubai mkuu
Well equiped kwa gobore zao au kwa kuishi uswazi hao polisi?
 
Tanzania ni nchi ya maajabu na vchekesho kuliko nyingine!
Eti vifaa vya kupigia kura vilishindwa kufika eneo ambalo halizidi kilomita kumi kutoka ikulu na m akao makuu ya tume kwa masaa zaidi ya 12 lakini magari ya washa washa yaliwasili kwa sekunde tu kuwafukuza wapiga kura wakalale kwa sababu ya kukosekana vifaa!!!!

Alafu kwa wale waliokuwa wanaongelea deni la taifa nasikia haya nayo yanaongezea kwenye bill, kwa hiyo kama ulikuwa unadaiwa laki nane huenda sasa ikwa 1.2m.
 
Niliona sehemu fulani wananchi wanawasaidia police kuweka maji kwenye gari la washawasha baada ya kuwa limevuja kwa chini wakawa wanalijaza upya somewhere maeneo ya kinondoni
 
Back
Top Bottom