Masanyiwa Mabula
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 954
- 983
Hawa jamaa siwapend mpaka keshokutwa. Wakome sana. Walizoea kuwamwagia wenzao leo nao wameona joto la jiwe.Roho mbaya haijengi jombaa
Safi sana. Nimeipenda
Hawa jamaa siwapend mpaka keshokutwa. Wakome sana. Walizoea kuwamwagia wenzao leo nao wameona joto la jiwe.Roho mbaya haijengi jombaa
Maisha hayaendi hivyo mkuu,Harafu kuna watu wamewapa maji na mafuta, wameniboa wangewaacha tu nao waone maumivu ya kumwagia watu
Kwanini tunapendaga kufuraiya wapiganaji wetu wanapopata shidaha ha ha,wameonja ladha yake shenztye
Uwapendi na ukipata shida unaenda kwao wakusaidie najua polisi anachukiwa kwa sababu yy anahakikisha sheria zote za nchi zinafuatwa tuwapende niwapiganaji Wa nchi yetuHawa jamaa siwapend mpaka keshokutwa. Wakome sana. Walizoea kuwamwagia wenzao leo nao wameona joto la jiwe.
Safi sana. Nimeipenda
Unafikiri kila mtu ana roho mbaya km wewe?Harafu kuna watu wamewapa maji na mafuta, wameniboa wangewaacha tu nao waone maumivu ya kumwagia watu
dah umenichekesha kweli nduguha ha ha,wameonja ladha yake shenztye
AKIRIPOTI UFOO SARO gari la maji ya kuwasha limefyatuka pump na kuwamwagikia polisi ambao waliwashwa mpaka kufikia kuvua nguo maeneo ya kinondoni.chanzo itv habari
Mwanamby umeonyesha ukomavu,mwingine angetoa povu kurekebishwa,umekomaa kifikra mkuuAsante mkuu
Harafu kuna watu wamewapa maji na mafuta, wameniboa wangewaacha tu nao waone maumivu ya kumwagia watu
Kweli siwapendi kbsa. Hawa jamaa ni wahuni sana. Siwezi kuwaamini hata kidogo na sifikirii kbsa kuwa nao.Uwapendi na ukipata shida unaenda kwao wakusaidie najua polisi anachukiwa kwa sababu yy anahakikisha sheria zote za nchi zinafuatwa tuwapende niwapiganaji Wa nchi yetu