john liver
Member
- Jul 11, 2015
- 6
- 3
Hiyo dhoruba imewatokea maeneo ya ofisi ya wilaya ya Cuf wilaya ya kinondoni. Na ndo kwa kiasi kikubwa wamewasaidia kuwastiri. Malipo ni hapa hapa duniani
Roho mbaya haijengi jombaaHarafu kuna watu wamewapa maji na mafuta, wameniboa wangewaacha tu nao waone maumivu ya kumwagia watu
wamekunywa dawa waliyoikoroga wenyewe.AKIRIPOTI UFOO SARO gari la maji ya kuwasha limefyatuka pump na kuwamwagikia polisi ambao waliwashwa mpaka kufikia kuvua nguo maeneo ya kinondoni.chanzo itv habari
Mmmmh....AKIRIPOTI UFOO SARO gari la maji ya kuwasha limefyatuka pump na kuwamwagikia polisi ambao waliwashwa mpaka kufikia kuvua nguo maeneo ya kinondoni.chanzo itv habari
Picha tafadhaliAKIRIPOTI UFOO SARO gari la maji ya kuwasha limefyatuka pump na kuwamwagikia polisi ambao waliwashwa mpaka kufikia kuvua nguo maeneo ya kinondoni.chanzo itv habari
Alaanie mabaya hayatoki kwakeSafi sana.Mungu hadhihakiwi.wao wanafanya majaribio kwa wananchi km vile ni miungu kwa wanyonge,Leo Mungu kawaumbua.safiiiiiiii,na bado hiyo migari itapinduka na kuwakata vichwa na miguu,ndo watamheshimu Mungu na watu walioumbwa km wao.endeleeni,tu mtafika mnakokutaka bado kidogo tu.