technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
- Thread starter
- #21
Serious Mental Problem
Mfano wa sample ya papai kuwa na corona si hoja ya kujiuliza ni ujinga si ndio?Washauri wa Rais popote mlipo iwe Dar, Dodoma au Chato, Naomba mshaurini Rais wetu mpendwa anyamaze mpaka corona ipite, Ninapoona speech za rais ambazo zinaacha maswali mengi na washauri ndio wanaonekana ni tatizo kwa kumshauri vibaya Rais wetu so please Mwambieni ukweli anyamaze kuna mambo anaongea yanamshushia heshima kweli.
Najua Rais ni taasisi kama mnamshauri anakataa bora mjiuzulu hamna kazi mnayofanya hebu angalieni effect za speech zake kwenye vyombo vya habari ya kimataifa kama BBC, VOA etc. na madhara ya speech zake kule WHO.
Atulie tu kwani anakosa nini kule Chato anyamaze janga la Corona litapita then tutarejea kwenye maisha ya kawaida kunyamaza kimya ni bora kuliko kuongea mambo yanayoacha maswali mengi zaidi ya majibu.
Rais kauli zake zina nguvu sana ndio maana unaona zinafuatiliwa sio tu Tanzania zaidi nje ya nchi clip zake zinazunguka zikiwa zimefanyiwa tafsiri ya lugha mbali mbali.
Kuna mtu anajiita BIA YETU, yeye alishakitoa kabisa kichwa chake!ila leo kwa kweli kaongea utumbo kuliko siku nyingine zote.
hata MATAGA wenye akili japo kidogo watakuwa wameona aibu wao!
Kwa hiyo kuwaambia ukweli kuwa wanaripoti uongo juu ya Tanzania wakati huko kwao wamezidiwa amefanya kosa?Washauri wa Rais popote mlipo iwe Dar, Dodoma au Chato, Naomba mshaurini Rais wetu mpendwa anyamaze mpaka corona ipite, Ninapoona speech za rais ambazo zinaacha maswali mengi na washauri ndio wanaonekana ni tatizo kwa kumshauri vibaya Rais wetu so please Mwambieni ukweli anyamaze kuna mambo anaongea yanamshushia heshima kweli.
Najua Rais ni taasisi kama mnamshauri anakataa bora mjiuzulu hamna kazi mnayofanya hebu angalieni effect za speech zake kwenye vyombo vya habari ya kimataifa kama BBC, VOA etc. na madhara ya speech zake kule WHO.
Atulie tu kwani anakosa nini kule Chato anyamaze janga la Corona litapita then tutarejea kwenye maisha ya kawaida kunyamaza kimya ni bora kuliko kuongea mambo yanayoacha maswali mengi zaidi ya majibu.
Rais kauli zake zina nguvu sana ndio maana unaona zinafuatiliwa sio tu Tanzania zaidi nje ya nchi clip zake zinazunguka zikiwa zimefanyiwa tafsiri ya lugha mbali mbali.
Tatizo la Chadema ni moja mnataka msikie speech mnayoipenda nyie
Waambieni wabunge waliojifungia hakuna posho
POSHO versus AFYA BINAFSI YA MTU utajalinini kwanza...Tatizo la Chadema ni moja mnataka msikie speech mnayoipenda nyie
Waambieni wabunge waliojifungia hakuna posho
Hata Mimi ningekuwa mshauri wake nisingemshauri anyamaze. Atanifukuza. Ntamwacha ajinyonge mwenyewe huku Mimi nachungulia dirishani!Watu wameshamsoma, amepeleka mapai na wanajua anataka kusikia negative, wamempa majibu ya negative!
Ilishawahi kulipwa posho bila ya kuhudhuria vikao au kufanya kazi za kibunge zinazostahili posho?Waambieni wabunge waliojifungia hakuna posho
Nina malezi mazuri ndio ninajua cha kuandika kama ni kweli au sio kweli.Kwani ukiongea bila matusi unahisi hutasikilizwa? Malezi mabaya ya wazazi wako hayo!
Kuna kitu umemisi nahisi, ingekuwa mtafiti huru opinion zatu huwa hazimkeli mwenye akili zake ila mwehu!
Upo sahihi kabisa ndugu,Kwa hiyo kuwaambia ukweli kuwa wanaripoti uongo juu ya Tanzania wakati huko kwao wamezidiwa amefanya kosa?
Kwani kanuni za bunge la Ndugai zasemaje?Tatizo la Chadema ni moja mnataka msikie speech mnayoipenda nyie
Waambieni wabunge waliojifungia hakuna posho
Tatizo la Chadema ni moja mnataka msikie speech mnayoipenda nyie
Waambieni wabunge waliojifungia hakuna posho
Speech yake ya leo baada ya kubandikwa tu na Pascal kwenye uzi wake,nikaipokea toka USA kwa WhatsApp,anyway madhara ya speech zake mkuu hayapo WHO tu bali hata hapa home.watu tutakufa sana kwa kuendelea kumuaminiWashauri wa Rais popote mlipo iwe Dar, Dodoma au Chato, Naomba mshaurini Rais wetu mpendwa anyamaze mpaka corona ipite, Ninapoona speech za rais ambazo zinaacha maswali mengi na washauri ndio wanaonekana ni tatizo kwa kumshauri vibaya Rais wetu so please Mwambieni ukweli anyamaze kuna mambo anaongea yanamshushia heshima kweli.
Najua Rais ni taasisi kama mnamshauri anakataa bora mjiuzulu hamna kazi mnayofanya hebu angalieni effect za speech zake kwenye vyombo vya habari ya kimataifa kama BBC, VOA etc. na madhara ya speech zake kule WHO.
Atulie tu kwani anakosa nini kule Chato anyamaze janga la Corona litapita then tutarejea kwenye maisha ya kawaida kunyamaza kimya ni bora kuliko kuongea mambo yanayoacha maswali mengi zaidi ya majibu.
Rais kauli zake zina nguvu sana ndio maana unaona zinafuatiliwa sio tu Tanzania zaidi nje ya nchi clip zake zinazunguka zikiwa zimefanyiwa tafsiri ya lugha mbali mbali.
Mkuu Mahiga,Getu na Ndassa wanaendelea kupokea posho? Just askingTatizo la Chadema ni moja mnataka msikie speech mnayoipenda nyie
Waambieni wabunge waliojifungia hakuna posho
I second you pointJamani tuwe waelewa alikuwa anatania tu hakuwa siriaz kwa sababu ingekuwa yuko siriaz asingejikarantini. Muwe waelewa na mjikarantini kwa wale wanaoweza, wasioweza tuchape kazi mwanzo mwisho likitukumba ni ajali kazini, am I right?
Wangekuwa na akili,walipaswa wajiuzuluNajaribu kuvaa viatu vya wale jamaa wa maabara. Cjui kama watapata ujasiri wa kutoa +ve results
Sent using Jamii Forums mobile app