Washanila kichwa tayari

Drone Camera

JF-Expert Member
Jul 25, 2017
14,007
13,799
Kuna watu tupo pamoja au ndo nimeanziwa mimi. Mtandao wangu ni voda. Si nilisikia shoo inaanza tarehe ishirini?

Screenshot_2020-01-17-16-17-18.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama wamekula kichwa mbona unaitumia kuperuzi hapa JF. Au wanazima kupiga simu na kutuma SMS pekee?
Hapa ninatumia Airtel laini 2...lain 1 ambayo ni voda ndo hivyo hata nikiwasha data haifanyi kazi... Ila mtandao unasoma kama kawaida
 
Back
Top Bottom