Wasenegal wameikabidhi nchi kwa vijana Faye na Sonko. Wacha tuone kama wamebutua au wameupiga mwingi

Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.

Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.

Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia ccm.

Sasa tusubiri kuona je, Wasenegal wamebutua ama wameupiga mwingi? Vijana huwa hawaaminiki hawa. Ni wa hovyo sana.

Kumbukeni akina Makonda, Sabaya, Hapi, Mnyeti, Gambo, etc walivyowatendea watanzania enzi za giza.
Miaka ya hivi karibuni vijana wamekuwa wa hivyo sana sidhani kama ni nchi zote za Afrika, baadhi yao wamepewa madaraka wakatumia vibaya, hongera sana Senegal, kama waasisi wa Afrika wasingepambana tukapata uhuru vijana wa leo wasingeweza kudai uhuru kutoka kwa mkoloni, wengi wangepewa offer za pesa na kwenda Ulaya ili wasaliti waafrika wenzao, vijana wa sasa hivi hawawezi kukata offer hizo. Huyo kijana ni mjasiri na amedhubutu, hata wasio wa Afrika miaka 1960 wengi walioongoza mapambano ya kudai uhuru na kuwa vingozi wa mwanzoni kabisa walikuwa ni vijana. Mfano Jk Nyerere, Robert Mgabe, Nelson Mandela, Seko Ture, Milton Obote, Partrice Lumumba, Agostino Neto, Samira Macheli, Nkwame Nkurumah, wote walikuwa ni vijana, wazee walikuwa ni akina Jomo Kenyatta.
 
Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.

Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.

Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia ccm.

Sasa tusubiri kuona je, Wasenegal wamebutua ama wameupiga mwingi? Vijana huwa hawaaminiki hawa. Ni wa hovyo sana.

Kumbukeni akina Makonda, Sabaya, Hapi, Mnyeti, Gambo, etc walivyowatendea watanzania enzi za giza.
Kwani hii tangu uhuru si tunaongozwa na mazee tu. Amefanya Nini kama sio kuongeza umaskn na shida Kwa watanzania. Mazee si ndo yanaongoza Kwa wizi wa Mal zetu
 
Miaka ya hivi karibuni vijana wamekuwa wa hivyo sana sidhani kama ni nchi zote za Afrika, baadhi yao wamepewa madaraka wakatumia vibaya, hongera sana Senegal, kama waasisi wa Afrika wasingepambana tukapata uhuru vijana wa leo wasingeweza kudai uhuru kutoka kwa mkoloni, wengi wangepewa offer za pesa na kwenda Ulaya ili wasaliti waafrika wenzao, vijana wa sasa hivi hawawezi kukata offer hizo. Huyo kijana ni mjasiri na amedhubutu, hata wasio wa Afrika miaka 1960 wengi walioongoza mapambano ya kudai uhuru na kuwa vingozi wa mwanzoni kabisa walikuwa ni vijana. Mfano Jk Nyerere, Robert Mgabe, Nelson Mandela, Seko Ture, Milton Obote, Partrice Lumumba, Agostino Neto, Samira Macheli, Nkwame Nkurumah, wote walikuwa ni vijana, wazee walikuwa ni akina Jomo Kenyatta.
Huo uhuru unamsaidia vipi kijana WA Leo afrika asiye na tumaini lolote zaidi ya kunufaisha familia za wapigania uhuru.
Waafrika walikuwa na nafuu ya maisha kabla ya uhuru.
Uhuru ni kichaka Cha wezi wachache kujivika ukoloni mweusi.
Leo
Dream ya kila kijana kuikimbia afrika akasake unafuu ulaya USA utumwa wa hiari kwa sababu mifumo ya uchumi imekufa baada ya uhuru.
 
Kwani hii tangu uhuru si tunaongozwa na mazee tu. Amefanya Nini kama sio kuongeza umaskn na shida Kwa watanzania. Mazee si ndo yanaongoza Kwa wizi wa Mal zetu
Vijana ndio hovyo kabisa mtu anataka wanawake weupe wote mjini alale nao kwa Kodi za wananchi
 
Kinachofanyika afrika ni kubadilishana wezi TU.
Uchaguzi sio jawabu la maendeleo ni njia TU ya kuchezea kodi za wananchi na staili ya kubadilishana wezi.
Kenya,Malawi,Zambia,Liberia nk wamebadili vyama still hakuna kilichobdilika
 
Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.

Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.

Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia CCM.

Sasa tusubiri kuona je, Wasenegal wamebutua ama wameupiga mwingi? Vijana huwa hawaaminiki hawa. Ni wa hovyo sana.

Kumbukeni akina Makonda, Sabaya, Hapi, Mnyeti, Gambo, etc walivyowatendea watanzania enzi za giza.
Kwa maoni yangu, Watanzania hawawezi kufanana na Wasenegali katika suala la kujitambua.

Inasemekana Senegal ni nchi iliyopiga hatua katika demokrasia barani Afrika.

Rais aliyemaliza muda wake Macky Sall alitokea upinzani na alipewa kashi kashi nyingi na chama tawala lakini wananchi wakawa pamoja naye mwisho wa siku akashinda uchaguzi.

Macky Sall naye akaanza kusumbua wapinzani hata bwana Faye alifungwa mwaka mmoja na kuachiwa kwa msamaha wa rais. Pia Macky Sall baada ya kumaliza muda wake akaanza zengwe la kuhairisha uchaguzi lakini wananchi wamekomaa naye mpaka akaitisha uchaguzi na wakamchagua mpinzani kijana Faye.

Kwahiyo, huko Senegal hawataki ujinga, hata Faye akizingua watamkomalia tu!
 
Huku Dini haipo
Wasenegal ni waislaam. Uislamu na ubabe ni kama pipa na mfuniko. Ndiyo maana hata hapa Tanzania ukiangalia misimamo ya wazanzibari (waislam tupu) wanapotaka jambo lao siyo sawa na watanganyika (ambako kuna mchanganyiko wa wakristo na waislam)

Wakristo wamejengwa ktk misingi ya msamaha na kumuachia Mungu alipe kisasi. Lkn waislam ni jino kwa jino.

Ndiyo maana hata ugaidi unafanywa na waislam.
 
Wasenegal ni waislaam. Uislamu na ubabe ni kama pipa na mfuniko. Ndiyo maana hata hapa Tanzania ukiangalia misimamo ya wazanzibari (waislam tupu) wanapotaka jambo lao siyo sawa na watanganyika (ambako kuna mchanganyiko wa wakristo na waislam)

Wakristo wamejengwa ktk misingi ya msamaha na kumuachia Mungu alipe kisasi. Lkn waislam ni jino kwa jino.

Ndiyo maana hata ugaidi unafanywa na waislam.
usifananishe waislam wa senegal na waislamu wa ukimani tz.
 
Back
Top Bottom