Wasanii wamebadilisha vifaa barabarani kuwa kazi za sanaa huko Basingstoke, Hants nchini Uingereza chini ya mradi mmoja wa kisanii uitwao “Streets Alive” unaoungwa mkono na bunge. Wasanii hao wamechora picha ya ndege, katuni na mandhari kwa rangi inayong’ara kwenye madawati, vyungu vya miche na makabati ya vifaa vya umeme barabarani.
Hawa watu inaonekana daima watakuwa mbele yetu.....hata hawatumii nguvu nyingi sana lakini mambo yao, yawe ya kiurembo, kiuchumi, kisanaa au vyovyote vile lazima yaende zaidi yetu. Sijui kwa nini?!!