Wasanii wa Uingereza waleta uhai kwa vifaa barabarani

ldleo

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
1,000
1,019
Wasanii wamebadilisha vifaa barabarani kuwa kazi za sanaa huko Basingstoke, Hants nchini Uingereza chini ya mradi mmoja wa kisanii uitwao “Streets Alive” unaoungwa mkono na bunge. Wasanii hao wamechora picha ya ndege, katuni na mandhari kwa rangi inayong’ara kwenye madawati, vyungu vya miche na makabati ya vifaa vya umeme barabarani.

VCG111383286510.jpg

VCG111383286528.jpg

VCG111383286256.jpg

VCG111383286751.jpg
 
Hawa watu inaonekana daima watakuwa mbele yetu.....hata hawatumii nguvu nyingi sana lakini mambo yao, yawe ya kiurembo, kiuchumi, kisanaa au vyovyote vile lazima yaende zaidi yetu. Sijui kwa nini?!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom