Wasanii wa mama ongea na mwanao: Wema Sepetu alisema uongo, yeye ndio alilipa timu pesa

cocochanel

Platinum Member
Oct 6, 2007
27,855
75,965
Baadhi ya wasanii walioshiriki kwenye kampeni ya CCM kwa jina lililotamba 2015 la "Mama ongea na Mwanao" ktk Uchaguzi Mkuu wamekanusha taarifa kuwa hawakulipwa na CCM.

Wakiongea na waandishi wa habari mchana wa leo, wasanii hao wakiongozwa na Yobnesh Yusuf (Batuli) wameeleza kuwa Msanii mwenzao waliyeshiriki naye kwenye kampeni hiyo, Wema Sepetu (aliyehamia CHADEMA hivi karibuni) aliongopa kusema kuwa CCM haikuwalipa.

Aidha, wameongeza kuwa, achilia mbali wasanii, hata waliowasaidia kubeba mizigo pia walilipwa.

Pia wanashangaa inakuwaje yeye Wema Sepetu awalipe wenzake wote na yeye asipate malipo wakati yeye ndiye alipewa pesa kulipa waliotakiwa kulipwa.

Zaidi yaja... Video hii




 
Baadhi ya wasanii walioshiriki kwenye kampeni ya CCM kwa jina lililotamba 2015 la "Mama ongea na Mwanao"

Wameongea na waandishi wa habari leo na kusema hayo, kuwa hata waliowasaidia kubeba mizigo walilipwa.

Wanashangaa inakuwaje, yeye Wema Sepetu awalipe wenzake wote na yeye asipate malipo. Yaani yeye ndie alipewa pesa kulipa waliotakiwa wote, na yeye alilipwa.


Zaidi yaja...
hata shigongo mlimkataa mchana kweupe mpaka akaanza kuwaumbua kwenye magazeti yake ya udaku!
Lumumba nyie ni wahuni wazoefu!

amyway sisi tupo bize mtu atuonyeshe vyeti yake halali
 
Baadhi ya Wasanii lete majina yao tujue walikuwa kweli kwenye kampeni ? Au mnatunga tuu hapa
 
Dully aliwai kujisingizia amebakwa so itakuwa Wema kusingizia ajalipwa hela yake na CCM ?

Na kama walilipwa inamaana ilikuwa ni kazi so leo kulalamika kuwa amejitolea kuipigania CCM kumbe alikuwa kazini sasa najiuliza ajui kuwa anayejitolea huwa halipwi yeyote anayelipwa hyo inahesabika ni kazi si kujitolea.
 
Baadhi ya wasanii walioshiriki kwenye kampeni ya CCM kwa jina lililotamba 2015 la "Mama ongea na Mwanao"

Wameongea na waandishi wa habari leo na kusema hayo, kuwa hata waliowasaidia kubeba mizigo walilipwa.

Wanashangaa inakuwaje, yeye Wema Sepetu awalipe wenzake wote na yeye asipate malipo. Yaani yeye ndie alipewa pesa kulipa waliotakiwa wote, na yeye alilipwa.


Zaidi yaja...
Mbona hujawataja
 
Wanashangaa inakuwaje, yeye Wema Sepetu awalipe wenzake wote na yeye asipate malipo. Yaani yeye ndie alipewa pesa kulipa waliotakiwa wote, na yeye alilipwa.

Kama alikuwa mwaminifu kiasi hicho kwa nini wasiamini anayoyasema? Yawezekana mikataba yao ilikuwa tofauti. Ila kila makubaliano ya kazi na malipo huwa na ushahidi. Sasa wanaoongelea ili suala waweke ushahidi wa mikataba na malipo kwa kuonyesha payment documents.
 
Kama alikuwa mwaminifu kiasi hicho kwa nini wasiamini anayoyasema? Yawezekana mikataba yao ilikuwa tofauti. Ila kila makubaliano ya kazi na malipo huwa na ushahidi. Sasa wanaoongelea ili suala waweke ushahidi wa mikataba na malipo kwa kuonyesha payment documents.


Subiri video wamenena short and clear
 
Baadhi ya wasanii walioshiriki kwenye kampeni ya CCM kwa jina lililotamba 2015 la "Mama ongea na Mwanao"

Wameongea na waandishi wa habari leo na kusema hayo, kuwa hata waliowasaidia kubeba mizigo walilipwa.

Wanashangaa inakuwaje, yeye Wema Sepetu awalipe wenzake wote na yeye asipate malipo. Yaani yeye ndie alipewa pesa kulipa waliotakiwa wote, na yeye alilipwa.


Zaidi yaja...
KAMA ALIWALIPA INAELEKEA ANAFAHAMU NANI ANADAI NA NANI HADAI
 
Mkuu hata jina la msanii mmoja pamoja na vipicha vyao hutupi?
sasa utawezaje kutuaminisha?
si tutakuona unatuangopea?
 
Back
Top Bottom