Wasanii wa hip-hop wa bongo, wamejipoteza kwenye game wenyewe

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,525
7,377
IMG-20221101-WA0001.jpg

Picha hii inamuonesha Nash MC, mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop Nchini​

Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba hip-hop unaonekana kama umechanganyikiwa. Tofauti na zamani kidogo hiphop ulikuwa inafanya vizuri sana.

Sasa huu muziki umefikaje hapa?

Wasanii wa hip-hop ndio chanzo.

Kwanza, hawataki kubadilika kuendana na soko linachotaka.

Pili, hawawezi kujibrand yani unakuta msanii mchafu kavaa makubazi anakula kashata mitaani hawezi kuvutia makampuni kumtumia kama image ya biashara zao.

Tatu, wasanii wa hiphop kila mtu mjuaji umkute Wakazi, Roma, Niki Mbishi sijui Nash MC wao wanajua kila kitu hawataki kujifunza.

Nne, usela wa kizaman tuliitaga usela nondo. Kujifanya umepinda unakaza, mtu akifanya mambo ya maana utasikia sio real huyo wana zile wanaita wanatunza misingi mara wanaokoa mitaa imagine mtaa uokolewe na mvuta ganja mmoja aliyekwama maisha 😄😄

Tano, kupenda lawama hakuna wasanii wenye lawama nchi hii kama watu wa hiphop wanasemaga muziki wao unabaniwa ila wakiambiwa wabadilike kidogo kuendana na soko wanakuwa wakali sijui kwa kuwa vipaji vyao haviruhusu kubadilika 🤔🤔 sasa nani atafanyia promotion bidhaa isiyo na soko

Mwisho nawashauri watu wa hiphop wabadilike muziki unazidi kuwaacha, Prof J alikuwa nominated MTV awards lakini kizazi cha leo ikitoka list ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye hiphop Africa huwezi waona ukiuliza bongo hiphop mbona hatuwaoni utaambulia matusi au kumlaumu Sallam Mendez au watajifichia kuwa wao hawaimbii tuzo wanaimbia vijana wa mitaani 😂😂

Ni hayo tu watu wa hiphop msitafute wa kumlaumu tatizo ni nyinyi wenyewe...unakunywa double kick muda wote alafu unataka upewe show mil 10 inawezekana vipi
 
Wasanii wa hip hop siku hizi wamechoka kweli yaani

#Kwanza wengi siku hizi hawanati na biti, wanaimba imba tu. Zamani ma-MC walikuwa wanashindana kunata na biti.

#Mabeat ya hipo hop mengi mabaya. Mfano nyimbo nyingi za Nick Mbishi, mashairi mazuri ila beat mbaya. Zimelala, hazina mvuto. Fid Q kidogo anajitahidi beat nzuri. Ila Nick na Maalim Nash nash, mashairi mazuri, flow nzuri ila beat mbaya.

#Kushindwa kuperform live. Wengi ukiwawekea beat live wanashindwa, wanaishia kuhema hema kelele nyingi.

Kuna siku kulikuwa na concert ya Serengeti pale Dodoma. Jaymoe pekee kati ya wasanii waliokuwepo waliokuwa wanauwezo wa kuchana live bila kuhema hema. Wengine sijui akina Jafarai, Mchizi Mox, wanahema, wanashindwa kurap. n.k.

Wasanii wanaoweza kuchana live ukafurahi wachache sana tuseme Fid, AY, FA .n.k

Wayeyushaji wakubwa jukwaani ni Juma Nature
 
JamiiForums
Celebrities Forum
Wasanii wa hip-hop wa bongo, wamejipoteza kwenye game wenyewe
Thread startersinza pazuri Start dateYesterday at 5:17 PM Tagsbongo game wasanii wenyewe
1 of 2
Next
Last

Moderation
Jump to new
Watch

•••
sinza pazuri
sinza pazuri
JF-Expert Member
Yesterday at 5:17 PM
Add bookmark
#1
IMG-20221101-WA0001.jpg
Picha hii inamuonesha Nash MC, mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop Nchini

Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba hip-hop unaonekana kama umechanganyikiwa. Tofauti na zamani kidogo hiphop ulikuwa inafanya vizuri sana.

Sasa huu muziki umefikaje hapa?

Wasanii wa hip-hop ndio chanzo.

Kwanza, hawataki kubadilika kuendana na soko linachotaka.

Pili, hawawezi kujibrand yani unakuta msanii mchafu kavaa makubazi anakula kashata mitaani hawezi kuvutia makampuni kumtumia kama image ya biashara zao.

Tatu, wasanii wa hiphop kila mtu mjuaji umkute Wakazi, Roma, Niki Mbishi sijui Nash MC wao wanajua kila kitu hawataki kujifunza.

Nne, usela wa kizaman tuliitaga usela nondo. Kujifanya umepinda unakaza, mtu akifanya mambo ya maana utasikia sio real huyo wana zile wanaita wanatunza misingi mara wanaokoa mitaa imagine mtaa uokolewe na mvuta ganja mmoja aliyekwama maisha 😄😄

Tano, kupenda lawama hakuna wasanii wenye lawama nchi hii kama watu wa hiphop wanasemaga muziki wao unabaniwa ila wakiambiwa wabadilike kidogo kuendana na soko wanakuwa wakali sijui kwa kuwa vipaji vyao haviruhusu kubadilika 🤔🤔 sasa nani atafanyia promotion bidhaa isiyo na soko

Mwisho nawashauri watu wa hiphop wabadilike muziki unazidi kuwaacha, Prof J alikuwa nominated MTV awards lakini kizazi cha leo ikitoka list ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye hiphop Africa huwezi waona ukiuliza bongo hiphop mbona hatuwaoni utaambulia matusi au kumlaumu Sallam Mendez au watajifichia kuwa wao hawaimbii tuzo wanaimbia vijana wa mitaani 😂😂

Ni hayo tu watu wa hiphop msitafute wa kumlaumu tatizo ni nyinyi wenyewe...unakunywa double kick muda wote alafu unataka upewe show mil 10 inawezekana vipi
Thanks Quote ReplySelect for moderation Edit History Ban
Thanks Reactions:puncler and Gan star
inspectorbenja
JF-Expert Member
Yesterday at 5:54 PM
Add bookmark
#2
Wasanii wa hip hop siku hizi wamechoka kweli yaani

#Kwanza wengi siku hizi hawanati na biti, wanaimba imba tu. Zamani ma-MC walikuwa wanashindana kunata na biti.

#Mabeat ya hipo hop mengi mabaya. Mfano nyimbo nyingi za Nick Mbishi, mashairi mazuri ila beat mbaya. Zimelala, hazina mvuto. Fid Q kidogo anajitahidi beat nzuri. Ila Nick na Maalim Nash nash, mashairi mazuri, flow nzuri ila beat mbaya.

#Kushindwa kuperform live. Wengi ukiwawekea beat live wanashindwa, wanaishia kuhema hema kelele nyingi.

Kuna siku kulikuwa na concert ya Serengeti pale Dodoma. Jaymoe pekee kati ya wasanii waliokuwepo waliokuwa wanauwezo wa kuchana live bila kuhema hema. Wengine sijui akina Jafarai, Mchizi Mox, wanahema, wanashindwa kurap. n.k.

Wasanii wanaoweza kuchana live ukafurahi wachache sana tuseme Fid, AY, FA .n.k

Wayeyushaji wakubwa jukwaani ni Juma Nature
Yes wengi wanafeli sana kwenye selection ya beats ila usilogwe uwashauri hayo matusi yake tena watakuita mbana pua.

Kwenye wasanii wanoweza live umewasahu Weusi wanajua mpaka wanajua tena

Kuna wimbo nimeuskia wa Sugu jamaa anaongea na bado beat inamuacha 🤣🤣🤣 halafu anasifia mashati sijui nini mzee yule amechoka balaa 😂😂😂😂
 
View attachment 2404153

Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba hip-hop unaonekana kama umechanganyikiwa. Tofauti na zamani kidogo hiphop ulikuwa inafanya vizuri sana.

Sasa huu muziki umefikaje hapa?
Wasanii wa hip-hop ndio chanzo.

Kwanza, hawataki kubadilika kuendana na soko linachotaka.
Pili, hawawezi kujibrand yani unakuta msanii mchafu kavaa makubazi anakula kashata mitaani hawezi kuvutia makampuni kumtumia kama image ya biashara zao.
Tatu, wasanii wa hiphop kila mtu mjuaji umkute wakazi, roma, niki mbishi sijui nash mc wao wanajua kila kitu hawataki kujifunza.
Nne, usela wa kizaman tuliitaga usela nondo. Kujifanya umepinda unakaza, mtu akifanya mambo ya maana utaskia sio real huyo wana zile wanaita wanatunza misingi mara wanaokoa mitaa imagine mtaa uokolewe na mvuta ganja mmoja aliyekwama maisha 😄😄
Tano, kupenda lawama hakuna wasanii wenye lawama nchi hii kama watu wa hiphop wanasemaga muziki wao unabaniwa ila wakiambiwa wabadilike kidogo kuendana na soko wanakuwa wakali sijui kwa kuwa vipaji vyao haviruhusu kubadilika 🤔🤔 sasa nani atafanyia promotion bidhaa isiyo na soko

Mwisho nawashauri watu wa hiphop wabadilike muziki unazidi kuwaacha, Prof J alikuwa nominated MTV awards lakini kizazi cha leo ikitoka list ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye hiphop Africa huwezi waona ukiuliza bongo hiphop mbona hatuwaoni utaambulia matusi au kumlaumu Sallam Mendez au watajifichia kuwa wao hawaimbii tuzo wanaimbia vijana wa mitaani 😂😂

Ni hayo tu watu wa hiphop msitafute wa kumlaumu tatizo ni nyinyi wenyewe...unakunywa double kick muda wote alafu unataka upewe show mil 10 inawezekana vipi
Huyo ni nani kwenye picha ?
 
Tatizo la watu wengi ni kutokuwa na uelewa juu ya huu mziki na ndio maana unapewa tafsiri mbaya

Nash Mc ni moja kati ya wasanii wa Hip Hop ambao wanaishi maisha yao halisia, mtandaoni mpaka mitaani.

Na huo ndio moja ya misingi ya Hip Hop kutoka Underground Hip Hop

Unataka Maalim Nash abadilike. Unataka aweje? Ikiwa mtaani kwako tu kuna bunch of singers wanaoimba mtindo unaoupenda na bado hawasikiki

Dizasta alisema moja ya sababu ya yeye kutokuwa maarufu ni kutokana na jamii kushiba sana ujinga

Hauko tayari kusikiliza Diwani ya Maalim Nash ila uko tayari kusikiliza "Nataka Nikuto" ya Harmonize
 
JamiiForums
Celebrities Forum
Wasanii wa hip-hop wa bongo, wamejipoteza kwenye game wenyewe
Thread startersinza pazuri Start dateYesterday at 5:17 PM Tagsbongo game wasanii wenyewe
1 of 2
Next
Last

Moderation
Jump to new
Watch

•••
sinza pazuri
sinza pazuri
JF-Expert Member
Yesterday at 5:17 PM
Add bookmark
#1
IMG-20221101-WA0001.jpg
Picha hii inamuonesha Nash MC, mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop Nchini

Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba hip-hop unaonekana kama umechanganyikiwa. Tofauti na zamani kidogo hiphop ulikuwa inafanya vizuri sana.

Sasa huu muziki umefikaje hapa?

Wasanii wa hip-hop ndio chanzo.

Kwanza, hawataki kubadilika kuendana na soko linachotaka.

Pili, hawawezi kujibrand yani unakuta msanii mchafu kavaa makubazi anakula kashata mitaani hawezi kuvutia makampuni kumtumia kama image ya biashara zao.

Tatu, wasanii wa hiphop kila mtu mjuaji umkute Wakazi, Roma, Niki Mbishi sijui Nash MC wao wanajua kila kitu hawataki kujifunza.

Nne, usela wa kizaman tuliitaga usela nondo. Kujifanya umepinda unakaza, mtu akifanya mambo ya maana utasikia sio real huyo wana zile wanaita wanatunza misingi mara wanaokoa mitaa imagine mtaa uokolewe na mvuta ganja mmoja aliyekwama maisha 😄😄

Tano, kupenda lawama hakuna wasanii wenye lawama nchi hii kama watu wa hiphop wanasemaga muziki wao unabaniwa ila wakiambiwa wabadilike kidogo kuendana na soko wanakuwa wakali sijui kwa kuwa vipaji vyao haviruhusu kubadilika 🤔🤔 sasa nani atafanyia promotion bidhaa isiyo na soko

Mwisho nawashauri watu wa hiphop wabadilike muziki unazidi kuwaacha, Prof J alikuwa nominated MTV awards lakini kizazi cha leo ikitoka list ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye hiphop Africa huwezi waona ukiuliza bongo hiphop mbona hatuwaoni utaambulia matusi au kumlaumu Sallam Mendez au watajifichia kuwa wao hawaimbii tuzo wanaimbia vijana wa mitaani 😂😂

Ni hayo tu watu wa hiphop msitafute wa kumlaumu tatizo ni nyinyi wenyewe...unakunywa double kick muda wote alafu unataka upewe show mil 10 inawezekana vipi
Thanks Quote ReplySelect for moderation Edit History Ban
Thanks Reactions:puncler and Gan star
inspectorbenja
JF-Expert Member
Yesterday at 5:54 PM
Add bookmark
#2
Wasanii wa hip hop siku hizi wamechoka kweli yaani

#Kwanza wengi siku hizi hawanati na biti, wanaimba imba tu. Zamani ma-MC walikuwa wanashindana kunata na biti.

#Mabeat ya hipo hop mengi mabaya. Mfano nyimbo nyingi za Nick Mbishi, mashairi mazuri ila beat mbaya. Zimelala, hazina mvuto. Fid Q kidogo anajitahidi beat nzuri. Ila Nick na Maalim Nash nash, mashairi mazuri, flow nzuri ila beat mbaya.

#Kushindwa kuperform live. Wengi ukiwawekea beat live wanashindwa, wanaishia kuhema hema kelele nyingi.

Kuna siku kulikuwa na concert ya Serengeti pale Dodoma. Jaymoe pekee kati ya wasanii waliokuwepo waliokuwa wanauwezo wa kuchana live bila kuhema hema. Wengine sijui akina Jafarai, Mchizi Mox, wanahema, wanashindwa kurap. n.k.

Wasanii wanaoweza kuchana live ukafurahi wachache sana tuseme Fid, AY, FA .n.k

Wayeyushaji wakubwa jukwaani ni Juma Nature
Hao wasanii waliochoka kuna siku walikuja kukugongea mlango uwasaidie unga?

Unasema kwamba

"Mabeat ya hipo hop meni mabaya. Mfano nyimbo nyingi za Nick Mbishi, mashairi mazuri ila beat"

Nikki mbishi ulimsikia kwenye Tz Bongo?

Alisema trap beats ndio kipenzi cha ma-teenagers
 
Mrisho Mpoto aliwahi kukimbiza huu muziki, kwa mashairi yake ya kufikirisha. Wala hakuwa na beats za kuvutia. Watu tulipenda mashairi yake sababu tuliweza kuelewa ujumbe alioukusidia!

Kizazi cha sasa kinataka nyimbo kama "nyegezi", ndipo uelewa wao unapoishia. Hawawezi kuelewa lyrics na punchlines za watu wanaojua kutumia akili zao vizuri.

Kwahiyo wasilaumiwe wasanii wa hiphop. Tuwalaumu mashabiki kua na uelewa mdogo. Na dalili moja wapo ya uelewa mdogo, ni kuthamini beat badala ya mashairi yanayoimbwa!
 
View attachment 2404153

Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba hip-hop unaonekana kama umechanganyikiwa. Tofauti na zamani kidogo hiphop ulikuwa inafanya vizuri sana.

Sasa huu muziki umefikaje hapa?
Wasanii wa hip-hop ndio chanzo.

Kwanza, hawataki kubadilika kuendana na soko linachotaka.
Pili, hawawezi kujibrand yani unakuta msanii mchafu kavaa makubazi anakula kashata mitaani hawezi kuvutia makampuni kumtumia kama image ya biashara zao.
Tatu, wasanii wa hiphop kila mtu mjuaji umkute wakazi, roma, niki mbishi sijui nash mc wao wanajua kila kitu hawataki kujifunza.
Nne, usela wa kizaman tuliitaga usela nondo. Kujifanya umepinda unakaza, mtu akifanya mambo ya maana utaskia sio real huyo wana zile wanaita wanatunza misingi mara wanaokoa mitaa imagine mtaa uokolewe na mvuta ganja mmoja aliyekwama maisha 😄😄
Tano, kupenda lawama hakuna wasanii wenye lawama nchi hii kama watu wa hiphop wanasemaga muziki wao unabaniwa ila wakiambiwa wabadilike kidogo kuendana na soko wanakuwa wakali sijui kwa kuwa vipaji vyao haviruhusu kubadilika 🤔🤔 sasa nani atafanyia promotion bidhaa isiyo na soko

Mwisho nawashauri watu wa hiphop wabadilike muziki unazidi kuwaacha, Prof J alikuwa nominated MTV awards lakini kizazi cha leo ikitoka list ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye hiphop Africa huwezi waona ukiuliza bongo hiphop mbona hatuwaoni utaambulia matusi au kumlaumu Sallam Mendez au watajifichia kuwa wao hawaimbii tuzo wanaimbia vijana wa mitaani 😂😂

Ni hayo tu watu wa hiphop msitafute wa kumlaumu tatizo ni nyinyi wenyewe...unakunywa double kick muda wote alafu unataka upewe show mil 10 inawezekana vipi
Wasanii wengi wakuimba wanaonekana wanamafanikio sababu wameingia kwenye kudanga tena Hadi wanaume usidanganye na mafanikio yao wanayopitia wanajua wenyewe
 
Tatizo la watu wengi ni kutokuwa na uelewa juu ya huu mziki na ndio maana unapewa tafsiri mbaya

Nash Mc ni moja kati ya wasanii wa Hip Hop ambao wanaishi maisha yao halisia, mtandaoni mpaka mitaani.

Na huo ndio moja ya misingi ya Hip Hop kutoka Underground Hip Hop

Unataka Maalim Nash abadilike. Unataka aweje? Ikiwa mtaani kwako tu kuna bunch of singers wanaoimba mtindo unaoupenda na bado hawasikiki

Dizasta alisema moja ya sababu ya yeye kutokuwa maarufu ni kutokana na jamii kushiba sana ujinga

Hauko tayati kusikiliza Diwani ya Maalim Nash ila uko tayari kusikiliza "Nataka Nikuto" ya Harmonize
20221101_193948.jpg


Kuishi maisha halisi sio kuwa mchafu, sasa mtu kama Nash unaamuzaje kwenye matangazo wakati image mbovu anakula kachori mtaani na makubazi.

Cheki swaga za Kendrick Lamar hapo juu yupo kitaa ila msafi alafu hiphop anaiweza ile yenyewe
 
View attachment 2404310

Kuishi maisha halisi sio kuwa mchafu, sasa mtu kama Nash unaamuzaje kwenye matangazo wakati image mbovu anakula kachori mtaani na makubazi.

Cheki swaga za Kendrick Lamar hapo juu yupo kitaa ila msafi alafu hiphop anaiweza ile yenyewe
Hip hop huijui mzee, hip hop fashion originating from the streets

Kendric Lamar kuvaa modern style ni free of choice aliyeamua yeye kama ambavyo hata Nash amekuwa akivaa fatilia tour yake huko US

Lakini uvaaji wa baggy clothes katika Hip Hop una maana kubwa nyuma yake. Baggy clothes ni moja ya component muhimu sana katika utamaduni wa Hip Hop.

Sitaki nikufundishe hilo somo

By the way kuna member aliyekuwa na mawazo kama yako, tena kwa msanii mkubwa fungua uzi na picha utajionea hapo

 
Ila bro huyo ulie muweka kwenye post yako umemkosea sana, mwamba anapiga mbona anapita kwenye majukwaa makubwa sana, halafu ni wewe/mimi tunaolalama, hao wameaumua kufanya kazi zao mfano labda wao kuuza kazi zao mkononi wanaona zina faida, miezi kadhaa ilopita Nash Mc alikuwa marekani huko na kafanya mbishe kibao za Hiphop, kasimama kwenye jukwaa la ma Mc hatari, jaribu kumfatilia halafu Mc'z hao tambua wana kazi zao nje na kazi zao za sanaa Mfano Stereo yeye pia ni muajiriwa wa Equity Bank

Msikilize Nash Mc


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom