Kwanza mashombeshome wengi huwa tunawaitza waarabu, wahindi na wazungu wa kuchovya ' Chok Ice' ni watoto wa mahausegeli, wazazi wao wa kike walikuwa wakifanya kazi kwa wahindi, waarabu na wazungu ndio wakazaliwa wao, kama siyo hivyo zamani mama zao walikuwa wakijiuza pale Magoti kisha wakapata mimba za mabaharia wasizozitarajia na wengi hawawajui baba zao, siyo kitu cha kujivunia.