Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Yawezekana hata wewe kuandika humu ni njaa
Kwani wasanii hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama Fulani? Kwani Marehemu MWANACOTIDE na BABA LEVO kilichowapeleka CHADEMA ni njaa au vitisho?Tujuze ni njaa, vitisho au kuna fungu kutoka hazina mkuu.
Wanaruhusiwa kuwa CCM tu ukiwa chama cha upinzani unatekwa. Wapi Roma Mkatoliki?Kwani wasanii hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama Fulani? Kwani Marehemu MWANACOTIDE na BABA LEVO kilichowapeleka CHADEMA ni njaa au vitisho?
Kwa akina msaga sumu 2015 ilikuwa njaa vitisho au fungu?
Wanaruhusiwa kuwa CCM tu ukiwa chama cha upinzani unatekwa. Wapi Roma Mkatoliki?
Ikiwa Mondi ana njaa sasa sijui wewe una nini!Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Wakifanya kwa mapenzi yao watapotea bora wafanye kwaajili ya pesa ili wakipotea mfukoni kuwe vizuriWanao uhuru huo kama itakuwa wanafanya kwa mapenzi yao. Mimi nina wasiwasi tu mkuu huenda ni njaa, vitisho au kuna fungu kutoka hazina.
Makaburi yamefukuliwa! Hahaha siasa za bongo tamu sana.Nasubiri kuona ikitekelezwa.View attachment 1503505View attachment 1503507
Demokrasia inakataa watu kushurutishwa kufanya jambo au kutumia hongo. Wasanii inaonyesha wanajikomba kusudi either kwa njaa (vyuma kukaza) au wanshurutishwa kuunga juhudi au kuna kahakiba kilichobaki hazina kinatumiwa.Nashindwaga kuelewa watu kama nyie Hapo tu. Nini maana ya Demokrasia na uhuru binafsi wa mtu. Sons of Contradictions.
Sio njaa wala vitisho fahamu tu kizuri chajiuzaTujuze ni njaa, vitisho au kuna fungu kutoka hazina mkuu.