data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
🤣🤣Uchaguz ukiisha show zao wakithubutu kufanya wataona matokeo.... Wamejitengenezea zengwe
Ova
🤣🤣Uchaguz ukiisha show zao wakithubutu kufanya wataona matokeo.... Wamejitengenezea zengwe
Ova
Huko Chuga mligomea kushiriki ufunguzi wa barabara, mmesababisha hadi Meneja wa TARURA katumbuliwa.Upande wa pili hauna "vuto". Wamebaki washabiki mitandaoni. Huku mtaani kila mtu CCM
Acha shoboHuyo kwenye avatar ndio wewe my dear...?
Wakuu habari za humu!
Wasanii sasa hasa wa Muziki imekuwa sasa sifa ata kama ndo hivyo lakini mfanye kwa kipimo.
Nyimbo za kukisifu chama cha CCM zimekuwa nyingi Mno hizo zote kitu gani? Mnatafuta au mmeambiwa mnalipwa, mbona sioni msanii yoyote akiwa amewatungia nyimbo Upande wa pili Chadema. Wasanii wengine wanatoa karibia nyimbo nne za kukisifu tu Chama. Mfano Rayvanny, karibia zote za CCM, katoa sasa hivi tena CCM TETEMA.
Muwe na aibu kidogo; hata upande wa pili wanatamani waimbiwe. Je, wakishika nchi aibu yenu mtaiweka wapi? Yangu ni hayo tu -- mbadilike. Hao wakiingia hawawajali tena zaidi ya miaka mitano.
Diamond kashiriki kameni nyingi tu mbona anatusua?Uchaguz ukiisha show zao wakithubutu kufanya wataona matokeo.... Wamejitengenezea zengwe
Ova
Kustarehesha waheshimiwa sanaMi nataka kujua Bongo Muvi wameenda kufanya nini huko? Bora hao wataimbaimba.
Waendelee kuzungusha mikonoUpande wa pili hauna "vuto". Wamebaki washabiki mitandaoni. Huku mtaani kila mtu CCM
Wavumilie tu dawa iwaingieesasa kama wasanii wote ni wa chama dume hao wa kuimbia upande wa pili watatoka wapi
Chadema waimbiwe nyimbo za kusifiwa kwa lipi la maana walilolofanya?Wakuu habari za humu!
Wasanii sasa hasa wa Muziki imekuwa sasa sifa ata kama ndo hivyo lakini mfanye kwa kipimo.
Nyimbo za kukisifu chama cha CCM zimekuwa nyingi Mno hizo zote kitu gani? Mnatafuta au mmeambiwa mnalipwa, mbona sioni msanii yoyote akiwa amewatungia nyimbo Upande wa pili Chadema. Wasanii wengine wanatoa karibia nyimbo nne za kukisifu tu Chama. Mfano Rayvanny, karibia zote za CCM, katoa sasa hivi tena CCM TETEMA.
Muwe na aibu kidogo; hata upande wa pili wanatamani waimbiwe. Je, wakishika nchi aibu yenu mtaiweka wapi? Yangu ni hayo tu -- mbadilike. Hao wakiingia hawawajali tena zaidi ya miaka mitano.
Yaani sisi tupoteze muda wetu kuwaimbia walevi wa konyagi