Duu🤪 na hii ndo Tanzania ya viwanda🙉Bongo muvi mi nawapenda hawa jamaa!!hasa mabinti wao wana misambwanda ya haja!!ningekua Raisi ningewatafuna sana hadi huko kwa mpemba!!sio kwa manundu hayo wananikosha sana!!!Namwambia Baby inama basi !kwa kasi ya 4g nazamisha rungu!!!!salaaaleh!!!
Kuuza suraMi nataka kujua Bongo Muvi wameenda kufanya nini huko? Bora hao wataimbaimba.
Acha urongo ..Upande wa pili hauna "vuto". Wamebaki washabiki mitandaoni. Huku mtaani kila mtu CCM
😀😀😀Acha urongo ..
Hili hawa ndugu zetu hawataki kuliskia....wamebaki mitandaoni na kujifanya ndiyo wenye akili kiwazidi waliopo upande wa pili.Upande wa pili hauna "vuto". Wamebaki washabiki mitandaoni. Huku mtaani kila mtu CCM
Halafu kaongeza mishahara sana sana yani haijawahi tokea tangu uhuruMagufuli kafanya kazi kubwa kajenga viwanda 100 kila mkoa na pia kagawa mil 50 kila kijijiji. Bila kusahau ajira za kumwaga.
Ila wana akili kuliko PhD fakeHuko kwingine kuna kitu gani cha kuimbia? Hao CDM chama kimejaza wahuni watupu, walikuwa na watu wenye akili lakini miaka mitano hii wote wameondoka. Wamebaki hao akina Mbowe, Lema, Mdee, Sugu na watu wa namna hiyo
Wanatia huruma yaaniHili hawa ndugu zetu hawataki kuliskia....wamebaki mitandaoni na kujifanya ndiyo wenye akili kiwazidi waliopo upande wa pili.
Pole sana ndugu. Subiri October tuone Nani atatembelewa kwampalangeMnaogopa tume huru mtaf*rwa hadharani mapeeeeeema
Watakuwa wanaogopa jambo bila shakaUpande wa pili hauna "vuto". Wamebaki washabiki mitandaoni. Huku mtaani kila mtu CCM
Biashara hainaga kuoneana aibu wala huruma, usidhani pale ni mapenzi ila pale kila mtu anajaribu kutengeneza connection na mamlaka ili wapate fursaWakuu habari za humu!
Wasanii sasa hasa wa Muziki imekuwa sasa sifa ata kama ndo hivyo lakini mfanye kwa kipimo.
Nyimbo za kukisifu chama cha CCM zimekuwa nyingi Mno hizo zote kitu gani? Mnatafuta au mmeambiwa mnalipwa, mbona sioni msanii yoyote akiwa amewatungia nyimbo Upande wa pili Chadema. Wasanii wengine wanatoa karibia nyimbo nne za kukisifu tu Chama. Mfano Rayvanny, karibia zote za CCM, katoa sasa hivi tena CCM TETEMA.
Muwe na aibu kidogo; hata upande wa pili wanatamani waimbiwe. Je, wakishika nchi aibu yenu mtaiweka wapi? Yangu ni hayo tu -- mbadilike. Hao wakiingia hawawajali tena zaidi ya miaka mitano.