Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,404
- 79,653
Hatukugoma mkuu, ni Meneja hakutupa taarifaHuko Chuga mligomea kushiriki ufunguzi wa barabara, mmesababisha hadi Meneja wa TARURA katumbuliwa.
Hatukugoma mkuu, ni Meneja hakutupa taarifaHuko Chuga mligomea kushiriki ufunguzi wa barabara, mmesababisha hadi Meneja wa TARURA katumbuliwa.
kwa kweli wawe wapole tuWavumilie tu dawa iwaingiee
Acha shobo
Wataigiza kiCCM CCM.
Kumbuka hili ni tukio linalotokea mara moja kila baada ya miaka mitano, hivyo kuwashirikisha wasanii wetu ni jambo jema. Wakulima na sekta nyingine wapo kwenye bajeti kila mwakaNASHANGAA WASANII WANAPEWA KIPAUMBELE
SANA WAKATI HAWANA IMPACT YOYOTE KUBWA KWENYE JAMII....
NGUVU HIZO WANGEWEKEZA KWA WAKULIMA, WAJASIRIAMALI INGEKUWA BORA ZAIDI
KILA SIKU BONGO FLEVA BONGO FLEVA
ova
Ataishia kuigiza sauti tu ya Magu kama wakina Steve Nyerere.Mi nataka kujua Bongo Muvi wameenda kufanya nini huko? Bora hao wataimbaimba.
Tutakutana nao pale kwny bonyeza BIO yangu sijui Nimeachia 'IPIII' yangu ina nyimbo 6 aisee nitanyoosha mtu pale.Kuimba kuhusu kitu flan huo ni uhuru wa mtu, haiwezi kuwa aibu wakat mtu anafanya kile alicho kiamua kwa mapenzi yake
Mkuu wewe tulia tu,kwny shoo zao itabidi wawe wanakodishiwa malori na polepole.Uchaguz ukiisha show zao wakithubutu kufanya wataona matokeo.... Wamejitengenezea zengwe
Ova
Barakoa inafanana na titi lililokatwa.Chadema waimbiwe nyimbo za kusifiwa kwa lipi la maana walilolofanya?
Kama wabunge wao tu walikisaliti chama chao na kujiunga na CCM sasa watatushawishi vipi tuamini kama chama chao kipo vizuri ?
Hungry Lion Never SleepKabisa unategemea hawa vichwa maji unaowaita wasanii wachagize (influence) maamuzi yako!
Acha wajitafutie ugali wao, kuwa mpinzani hadharani awamu hii ni dhambi kubwa.
Hivi wakitunga kusifia CCM bila kutaja au kuwananga wapinzani hawatalipwa?Wakuu habari za humu!
Wasanii sasa hasa wa Muziki imekuwa sasa sifa ata kama ndo hivyo lakini mfanye kwa kipimo.
Nyimbo za kukisifu chama cha CCM zimekuwa nyingi Mno hizo zote kitu gani? Mnatafuta au mmeambiwa mnalipwa, mbona sioni msanii yoyote akiwa amewatungia nyimbo Upande wa pili CHADEMA. Wasanii wengine wanatoa karibia nyimbo nne za kukisifu tu Chama. Mfano Rayvanny, karibia zote za CCM, katoa sasa hivi tena CCM TETEMA.
Muwe na aibu kidogo; hata upande wa pili wanatamani waimbiwe. Je, wakishika nchi aibu yenu mtaiweka wapi? Yangu ni hayo tu -- mbadilike. Hao wakiingia hawawajali tena zaidi ya miaka mitano.