elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
Itakuwa ruge kagomea lile lisaa limoja aliloongezewa na rc jana halitakiDuuh, kwahiyo mwisho saa sita usiku,
Au saa saba
Itakuwa ruge kagomea lile lisaa limoja aliloongezewa na rc jana halitakiDuuh, kwahiyo mwisho saa sita usiku,
Au saa saba
Umemkosea king kong .....soma na uelewemaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Kwanini wasianze asubuhi?!
Kwani ana ngwengwe pia..??maskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Kazi ipo aisee, hataki kupangiwaItakuwa ruge kagomea lile lisaa limoja aliloongezewa na rc jana halitaki
Mkuu ni Chin Bees sio Chid Benz. Mwangalie kuanzia sekunde ya 10 hadi 11 (00:10 to 00:11min) huyo dogomaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Mtoto wa kike ukikosa stara ni shida kwa jamiimaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Boss Ruge anasema eti kwenye soko la ushindani wa burudani kimataifa yale mataa ya usiku na screen ni muhimu ndio maana hawafanyi mchana tenaKwanini wasianze asubuhi?!
Lulu diva si alikua juzi nae akijinadi maana wiki hii wasanii walikua wanakuja kuja mawingumaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
sio chi benz ni ChinBeezmaskini chid benzi
H.I.V tena!!!?maskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Kukurupuka kubaya sanamaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Madaraka yanamwishooo atiBig up Ruge nimekupenda bure achana na huyo Grace Mugabe na ulimi kujaa mdomoni kumbafu tena ikifika saa 5:50 zimeni kila kitu kubaki olaaa kabisa ili ajione jinga la wajinga shenzy type dawa ya moto ni moto na sio maji................... kabisa mmeonyesha mlishajipanga kwenye hayo masaa 6 hiyo nyongeza yake apande kitandani atafute mtoto mbambafu kunya hapo JD i will pay Ruge
hii inaitwaga side effect
Lulu diva alisema kabisa hatakuepo kwasababu ya muda kwenye amplifaya.Lulu diva si alikua juzi nae akijinadi maana wiki hii wasanii walikua wanakuja kuja mawingu