Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,953
- 2,430
Lulu diva alisema kabisa hatakuepo kwasababu ya muda kwenye amplifaya.Lulu diva si alikua juzi nae akijinadi maana wiki hii wasanii walikua wanakuja kuja mawingu
Lulu diva alisema kabisa hatakuepo kwasababu ya muda kwenye amplifaya.Lulu diva si alikua juzi nae akijinadi maana wiki hii wasanii walikua wanakuja kuja mawingu
Ulimi Unatelezaga Mara moja Moja Mwacheni BhanaKukurupuka kubaya sana
Kolekole=samaki mkuu c pata jaa shombo kila mmoja akija na wakeBado kiingilio ni kolekole au?
Wanashindana na nani!?Boss Ruge anasema eti kwenye soko la ushindani wa burudani kimataifa yale mataa ya usiku na screen ni muhimu ndio maana hawafanyi mchana tena
Hochohocho = Hichohicho.Kolekole=samaki mkuu c pata jaa shombo kila mmoja akija na wake
Kolekole=kile kile
Sio chidmaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na mnampa tena stress sio fair
Kata ni neno moja si maneno mawilini maneno mawili tu KA TA.
maskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na mnampa tena stress sio fair
Lulu diva si alikua juzi nae akijinadi maana wiki hii wasanii walikua wanakuja kuja mawingu
Unadhani walioathirika hapo ni Clouds?! Aliyepanga kwenda hawezi kuacha kwenda eti kv kuna undergrounds wamekatwa! Sana sana hata wale wasiopenda kukesha wataona poa tu kv hadi saa 6 show imeisha na best artists wote watakuwa wame-perform.Ndio wajifunze kuwa wameshika makali kuna aliyeshikilia mpini.
Kibiashara hilo lipo wazi ila ni jeuri tu za kihaya. (Achomile bhana).
hivi kumbe kuna msanii anaitwa luludivaLulu diva alisema kabisa hatakuepo kwasababu ya muda kwenye amplifaya.
Sasa PhD hewa ya magogoni inakuambia maneno mawili KA TA!Kata ni neno moja si maneno mawili
"Frustration" tu, msameheSasa PhD hewa ya magogoni inakuambia maneno mawili KA TA!