St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,994
- 5,231
Salam kwenu.. Nije kwenye hoja.. Hawa walimu wanasikitisha.. Mishahara ni midogo sana.. 200,000/- mpaka 400,000/- kwa mwezi.
Kazi ni kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Jumatatu mpaka Jumamosi. Hakuna overtime wald posho.. Lakini wewe mzazi unalipa 2,000,000/- kwa mwaka..
Swali la kujiuliza ni Je huyo mwalimu anayemfundisha mwanao ana thamani ya kumfundisha mwanao.. Jibu ni hapana.. Shule zinaajiri vijana wadogo wasio na uzoefu wala weledi wa Ualimu. Lengo ni wamiliki wa shule kupata Super profit..
Je.wewe mzazi unaona sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa kuokoteza wakati wewe unalipa mamilioni.?? Jibu ni hapana. Wakaguzi, wazazi na idara ya kazi pitieni kwenye hizi shule mkajionee mauzauza
Kazi ni kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Jumatatu mpaka Jumamosi. Hakuna overtime wald posho.. Lakini wewe mzazi unalipa 2,000,000/- kwa mwaka..
Swali la kujiuliza ni Je huyo mwalimu anayemfundisha mwanao ana thamani ya kumfundisha mwanao.. Jibu ni hapana.. Shule zinaajiri vijana wadogo wasio na uzoefu wala weledi wa Ualimu. Lengo ni wamiliki wa shule kupata Super profit..
Je.wewe mzazi unaona sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa kuokoteza wakati wewe unalipa mamilioni.?? Jibu ni hapana. Wakaguzi, wazazi na idara ya kazi pitieni kwenye hizi shule mkajionee mauzauza