Wasafirishaji mnafanyaje hii biashara??

50x50,000 = 2,500,000 hii ni kwa siku.

2,500,000 x 280 = 700,000,000 (tume assume lina fanya kazi siku 280 tu kwa mwaka).

Chukua 700,000,000 x miaka 3 unakua hujarudisha hela ya kununulia? Yani hapo weka na hizo gharama zote kuanzia matengenezo nk nk!
Wale jamaa wanapiga pesa kwenye parcel,,kuna mjuba niliwahi msikia kwenye hiyo 2,500,000 ya maingizo,bosi anabaki na 1,000,000 baada ya kutoa kila kitu

Na hapo bado parcel zinaweza ingiza tena hata 1,000,000 au kasoro kidogo ukipiga hesabu hapo tufanye wastani wa 1.5m kila siku gari inaacha benki baada ya matumizi mengine 1.5m * hizo siku 280 (ulizosema) = 420m kwa mwaka mmoja,,,mara miaka miwili tu anaingiza 840m tayari hela yake isharudi miaka inayobaki ni faida tu mpaka pale gari linapoanza ku generate hasara

Hii biashara ukiweza kudeal vizuri na uwizi na unaweza kuwateka watu ubebeaji wa parcel basi wew utajiri mkubwa unakuwa karibu yako kama tanesco na mgao wa umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imagine kama abood anapata 11,000×65 = 715,000/=, kwa trip moja Dar-Moro, sijui huwa basi moja linapiga trip ngapi, naona kama ni ndogo hiv.sijui wanafanyeje biashara kiasi kwamba utakuta pia ameagiza mabasi 20 mapya kwa mpigo..
Hapo ongezea mizigo ya abiria na mizigo inayotumwa na watu (courier)
 
katika 50000
fanya 30000 uendeshaji
faida 20000 kwa kichwa

20000*50=1,000,000
1,000,000*2=2,000,000(nenda rudi)
kisha but fanya 1,000,000 pia kwa nenda rudi
jumla anakuwa
3,000,000 kwa siki 30 atakuwa na
milion 90

toa basi hata 10,000,000 kama service na ziada pia

80,000,000 * 12=960,000,000 kwa mwaka

bus linakulipa ndani ya mwaka


hapo tumeipunja sana
 
-Hilo gari una uhakika wa abiria wa Kahama tuuu!
Jibu ni hapana. Hivyo,hesabu hiyo kwa siku huwezi kuipata.
-unajua maintenance ya gari?
-umeshaweka gharama utakazoibiwa?
Je, baada ya wiki likipata ajali?

Kwenye hesabu za biashara ukilenga faida bila kukumbuka na hasara utalia. Sema kwa hesabu zako,anaongezea kidogo anapata za mchina 2, hesabu itakayolala ndo hiyo hiyo
hata duka pia linaweza ungua baada ya siku 3


shabiby anapataga ajali?
 
hiyo 50k umepigia anayopewa boss au nauli aliyokatiwa mteja? maana naonaga kama nauli ni 50 kuna hela kiasi ya mkata ticket (huku wanaita kyagora sijui vyagora) tufanye 5000 then kwa bosi inafungiwa 45,000
Katika iyo 50,000 Kuna Kodi zaidi ya 25% pia,,Kuna zaidi ya 25% Tena kama gharama za uendeshaji,biashara ina faida kwa Hali tata sana mpaka uingie ngomani ucheze ndio utaelewa utamu wa mchezo,,mfanyabiashara anataka ukwasi au wanaita CASHFLOW au tuseme EQUITY ili aweze kufanya mambo mengi kwa mapana hapo ndio anapoweza kutengeneza faida kwa haraka haraka utaona kama anapoteza au hapati faida lakini kwa uhalisia anapata faida maradufu.
 
Biashara ya magari inalipa asikuambie ntu hakuna cha biashara kichaa wala chizi, halaf hizo changamoto hakuna biashara hata moja ambayo haina changamoto hata hizo za unga, had ukahaba unachangamoto, na biashara yyt kuna muda unapiga hela sana muda mwngn wastani muda mwingin ndy hvyo wateja unatafuta kwa tochi, ila basi wanapiga faida na ndio maan wapo miaka na miaka hawaachi cheki New force zilivyofululiza kupata ajali mwaka jana ila ngoma bado wapo barabran tuacheni uvivu hakuna biashara isiyo na changamoto, kama changamoto huzitaki subiri ajira za uwalimu za mama samia
 
Sio kila siku basi siti zote zinajaa labda usimamie tajiri mwenyewe
Kwahiyo ukisimamia tajiri mwenyewe utawafata abiria majumbanj uje kujaza.

Nimeshakuelewa ulipoishia. Jua lina uwezekano wa kuacha kuzama, lakini sio wewe kuelewa hesabu za mabasi ktk biashara.
 
Kwahiyo ukisimamia tajiri mwenyewe utawafata abiria majumbanj uje kujaza.

Nimeshakuelewa ulipoishia. Jua lina uwezekano wa kuacha kuzama, lakini sio wewe kuelewa hesabu za mabasi ktk biashara.
Hii biashara ni complicated waliosimama hawategemei biashara hio pekee.
 
Biashara ya magari inalipa asikuambie ntu hakuna cha biashara kichaa wala chizi, halaf hizo changamoto hakuna biashara hata moja ambayo haina changamoto hata hizo za unga, had ukahaba unachangamoto, na biashara yyt kuna muda unapiga hela sana muda mwngn wastani muda mwingin ndy hvyo wateja unatafuta kwa tochi, ila basi wanapiga faida na ndio maan wapo miaka na miaka hawaachi cheki New force zilivyofululiza kupata ajali mwaka jana ila ngoma bado wapo barabran tuacheni uvivu hakuna biashara isiyo na changamoto, kama changamoto huzitaki subiri ajira za uwalimu za mama samia
Kama umeona hilo na ww bado ni kijana basi una dalili za kutoboa.
 
-Hilo gari una uhakika wa abiria wa Kahama tuuu!
Jibu ni hapana. Hivyo,hesabu hiyo kwa siku huwezi kuipata.
-unajua maintenance ya gari?
-umeshaweka gharama utakazoibiwa?
Je, baada ya wiki likipata ajali?

Kwenye hesabu za biashara ukilenga faida bila kukumbuka na hasara utalia. Sema kwa hesabu zako,anaongezea kidogo anapata za mchina 2, hesabu itakayolala ndo hiyo hiyo
Hivi unajua kuwa hela inayoingia kwenye kusafirisha parcel na mizigo midogo midogo?
 
Back
Top Bottom