Wasafirishaji Abood, Alsaid, BM, Champions na watu wa malori mjiandae kisaikolojia

treni ya mwendokasi sio km unadhani za umeme ni kwamba sg ni reli yenye upana na ubora ya kufanya treni isafiri kwa mwendo zaidi kuliko na hizi za sasa hapo inategemea na aina ya treni serikali itakayo nunua. sio kwamba ni treni za umeme km ethiopia kwanza zile hazimii mataruma ya reli km hz
Duh!
 
Angalia marudio ya uzinduzi umsikilize mkurugenzi anavyofafanua kwa mifano specifications na sifa za hiyo treni. Inaoption zote umeme ukisumbua katikati ya safari unachange mode inaendelea kama kawaida Bila umeme pia Kuna macontroller wanaoweza kuiwasha kuizima kuongeza speed hata kupunguza nje ya huyo anaeendesha na wanakuwa dsm hivyo unauhakika wa usalama muda wote



Taarifa za Kisiasa kuna vitu vya kweli viwili tu kwa Mujibu wa Hayati Colonel Gadafi

1) Majina ya Watu na Vitu

2) Mihuri iliypigwa.

Tafuta Hotuba Siku ya Uzinduzi wa MV Dar Es salaam na performance yake baada ya uzinduzi
 
Basi unasafiri Muda wowote, Treni ya Jiji zipo na daladala zipo
Ni kweli wananchi wameongezewa wigo wa transport choices.
Mfano zamani bus dar Moro ilikuwa masaa mitatu leo mambo ya tochi hadi matano.
Huku Kuna treni assuming kila kitu kitaenda Sawa inafika chini ya masaa miwili.
Ni afadhali nisimame saa moja na nusu kuliko kukaa masaa matano.
Mradi ukiwa safi lazima watu wa usafiri wapate changamoto. Ndio maana tunawakumbusha wapange leo kile ambacho wangekipanga kwa hofu 2020 au wakati wa commissioning ya huu mradi phase one
 
Wafanya Biashara wakiingia kwenye siasa ni mtihani sana.
Manake wanaweza tengeneza FITNA mradi usifanikiwe ili mabasi na malori yao yaendelee kunyonya.
 
Biashara itakuwepo kama kawaida maana hata mwendo kasi ya dsm nilidhani madaladala yatakosa abiria lakini wanajaza hadi wanawaacha.
 
Kwa hii nchi naweza kuwaambia wasiwe hata na hofu biashara itafanyika tena zaidi ya hapa.

Treni hizo zinaweza kuja zikakosa umeme au zikikwama porini mabasi yatakuwa yamepata biashara nzuri.
Kwa kuongezea hapo mkuu, biashara ya mabasi na malori itaboreka zaidi na zaidi. Like the Maxwell's equation, wherever there is a big plus there is also a big minus and vice versa and that is life!
 
Mabadiliko chanya yote yanamadhara kwa upande mwingine...
Kama ndani ya miezi 30 ijayo tutakuwa na hiyo treni basi watu wa mabus dar Moro/Dodoma wafanye restructuring ya biashara zao.

Kama tunaenda kuwa na reli yenye Uwezo wa kubeba malaki ya Tani watu wa malori hawana jinsi zaidi ya kurestrcture biashara zao.

Ila cha ajabu Kuna watu wanadhani hizi ni story au ndoto siku wakina treni inapita kama mkuki na waliambiwa mapema utasikia maandamano ya madereva.

Ushauri boresheni huduma zenu mfano free WiFi, bei Nzuri, muanze na kutugawia soda, wanaweza kuuboresha routes za nje ya reli na tanzania itakuwa exponentially.
Kama mimi nakuja Moro kwa treni basi nakuta express ya abood au pm Moro kilosa au ifakara sio zile coaster zinazojaza masaa sita. Watu wa malori pia wajipange...
Mabadiliko hayapingwi Bali yanakumbatiwa....
Mmmh kwa mibasi hii ya 50km/hr sitii miguu kwenye mibasi teena hata wagawe almas
 
hongera km ikiwa kweli linalozungumzwa isijekuwa km tulivyoaminishwa khs dangote na bei ya mfuko wa cement
 


Taarifa za Kisiasa kuna vitu vya kweli viwili tu kwa Mujibu wa Hayati Colonel Gadafi

1) Majina ya Watu na Vitu

2) Mihuri iliypigwa.

Tafuta Hotuba Siku ya Uzinduzi wa MV Dar Es salaam na performance yake baada ya uzinduzi
Ile mv kwa sasa ni military vessel hahaha.
Sio tu hotuba Bali mjadala Mkali bungeni nikishuhudia msigwa na Ester matiko wakidhihakiwa baadae maneno yao yakawa halisi.
Lessons learned ndio mimi hapa nasisitiza, somo la meli linaweza kuwa uhakika wa treni kukimbia.
Kuna mabadiliko na masomo mengi tumejifunza toka enzi zile, ndio maana sijamtaja mwanasiasa maana tunawajua nimemtaja yule banker mkuu wa shirika.
Ghadafi Siwezi kumpuuza maana ni mzoefu wa Afrika, lkn tuwape imani na nafasi za pili viongozi wetu wanapohubiri mabadiliko
 
Mabadiliko chanya yote yanamadhara kwa upande mwingine...
Kama ndani ya miezi 30 ijayo tutakuwa na hiyo treni basi watu wa mabus dar Moro/Dodoma wafanye restructuring ya biashara zao.

Kama tunaenda kuwa na reli yenye Uwezo wa kubeba malaki ya Tani watu wa malori hawana jinsi zaidi ya kurestrcture biashara zao.

Ila cha ajabu Kuna watu wanadhani hizi ni story au ndoto siku wakina treni inapita kama mkuki na waliambiwa mapema utasikia maandamano ya madereva.

Ushauri boresheni huduma zenu mfano free WiFi, bei Nzuri, muanze na kutugawia soda, wanaweza kuuboresha routes za nje ya reli na tanzania itakuwa exponentially.
Kama mimi nakuja Moro kwa treni basi nakuta express ya abood au pm Moro kilosa au ifakara sio zile coaster zinazojaza masaa sita. Watu wa malori pia wajipange...
Mabadiliko hayapingwi Bali yanakumbatiwa....
ni kukate na uzi wa mada yako.
treni ya umeme si kwamba hita haribu biashara bali ni moja ya usafiri utakao kuwa ukitumiwa na masharti ambayo mtu utoweza kubeba mizigo mingi kama ndege unavo ijuia na ukiweza kulipa pesa ya mzigo mkubwa ni garama.kwa hiyo huduma ya magari itakuwepo na mizigo itakuwepo.
 
Back
Top Bottom