WASAFIRI: Barabara ya Kibiti Lindi

nachid

JF-Expert Member
Apr 14, 2011
936
203
Barabara mbovu kuliko maelezo kuanzia maeneo ya Nyamwage baada ya kuvuka daraja la Mkapa, ina mashimo ya ajabu kama una wazo la kusafiri na gari dogo e.g opa, noah etc ondoa ilo wazo otherwise utaua gari yako
 
Ivi kile kipande bado akijaisha hadi leo??..sitopasahau pale nililala njiani bila kupenda nikienda Liwale.
 
Ivi kile kipande bado akijaisha hadi leo??..sitopasahau pale nililala njiani bila kupenda nikienda Liwale.

bado hapajaisha tena sijui wanaendelea na kazi au wameacha coz wao na vifaa vyao wamepaki tu, na kipande cha mchina wametoa ile lami isiyo na kiwango wanaweka nyingine
 
Serikali imeshindwa kulipa makandarasi, vifaa kukaa site bure bila kazi serikali huvilipia kwa kila saa moja fedha nyingi tu.
 
Mh jamani mi ni mkazi wa kusini. Kuna issue mbili hapa.
1. Ndundu Somanga na Nyamwage. ni zile 60 km za zamani. Unajua mwanzoni ilitakiwa ichangiwe na serikali yetu na ile ya kuwait but Kuwait walijitoa japo sababu siijui. Now inajengwa kwa pesa za Tanganyika ( oh sorry Tanzania)
Kuna kipindi serikali yetu ilikuwa inadaiwa karibu bil. 3 na mkandarasi na kazi ikabidi isimame but few months back wameanza kazi na kuna kipande almost 20-30km kimeshapigwa lami na kimefunguliwa japo si chote. sehemu iliyobaki nilimsikai magufuli anasema ameshawalipa almost 2 bil na kweli wamerudi site. tatizo la pale mvua kubwa zikianza kama sasa, kazi inabidi isimame maana kuna maji si mchezo japo sijui kitaalam ni kwa nini inasimama but nilipita like 2wks walikuwa wanaendelea na kazi ya backfilling ili kuweka level sawa na madaraja then kazi nyingine ziendelee. I hope mvua zikipungua kazi itaendelea.
2. Ni ile Nangurukuru to Mbwemkuru ya wachina. hii ilikataliwa na JK baada ya ujenzi kumalizika na kukosa viwango. Sasa jamaa wanatindua lami yote na kuanza upya. eneo hili lina udongo wa mfinyanzi linateleza balaa. Uzuri ni kwamba kila siku wanakuwa site labda kipindi hiki cha sikukuu ndo sijui. kama wapo wanajitahidi kusaidia magari yapite hata kama mvua inanyesha sana.
Lets hope for the best lakini kama unasafiri nyakati hizi bora ubebe mikate ya kutosha na kama mko wengi basi bebeni mchele na maharage ya kutosha na jiko la mchina maana kulala njiani nji kawaida sana ila kuna mbu balaa.
Cha ajabu kama kuna mabasi yamelala humo asubuhi utakuta used condoms kibao, sijui hizi show huwa zinafanyikia kwenye tope???
Kaazi kweli kweli
 
Mh jamani mi ni mkazi wa kusini. Kuna issue mbili hapa.
1. Ndundu Somanga na Nyamwage. ni zile 60 km za zamani. Unajua mwanzoni ilitakiwa ichangiwe na serikali yetu na ile ya kuwait but Kuwait walijitoa japo sababu siijui. Now inajengwa kwa pesa za Tanganyika ( oh sorry Tanzania)
Kuna kipindi serikali yetu ilikuwa inadaiwa karibu bil. 3 na mkandarasi na kazi ikabidi isimame but few months back wameanza kazi na kuna kipande almost 20-30km kimeshapigwa lami na kimefunguliwa japo si chote. sehemu iliyobaki nilimsikai magufuli anasema ameshawalipa almost 2 bil na kweli wamerudi site. tatizo la pale mvua kubwa zikianza kama sasa, kazi inabidi isimame maana kuna maji si mchezo japo sijui kitaalam ni kwa nini inasimama but nilipita like 2wks walikuwa wanaendelea na kazi ya backfilling ili kuweka level sawa na madaraja then kazi nyingine ziendelee. I hope mvua zikipungua kazi itaendelea.
2. Ni ile Nangurukuru to Mbwemkuru ya wachina. hii ilikataliwa na JK baada ya ujenzi kumalizika na kukosa viwango. Sasa jamaa wanatindua lami yote na kuanza upya. eneo hili lina udongo wa mfinyanzi linateleza balaa. Uzuri ni kwamba kila siku wanakuwa site labda kipindi hiki cha sikukuu ndo sijui. kama wapo wanajitahidi kusaidia magari yapite hata kama mvua inanyesha sana.
Lets hope for the best lakini kama unasafiri nyakati hizi bora ubebe mikate ya kutosha na kama mko wengi basi bebeni mchele na maharage ya kutosha na jiko la mchina maana kulala njiani nji kawaida sana ila kuna mbu balaa.
Cha ajabu kama kuna mabasi yamelala humo asubuhi utakuta used condoms kibao, sijui hizi show huwa zinafanyikia kwenye tope???
Kaazi kweli kweli

Asante kwa taarifa mkuu
 
Wajua watu hawaamini kama Mtwara-Dar ni hardly kilometa 560! Ni kipande korofi tu hicho chenye matatizo tena wakati wa mvua. Kipande hicho km 60[wastani wa Dar-B'moyo] unatumia masaa mawili mpaka mawili na nusu barabarani,ila wakati wa mvua,hata masaa manne na zaidi! Gari binafsi inabidi iwe na 4wheel kwa kipindi hiki!
 
Back
Top Bottom