Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Ntumie bac PM kama hutojal mkuuTumia browser mkuu
Ntumie bac PM kama hutojal mkuuTumia browser mkuu
Install crome kwenye simu yako.Ntumie bac PM kama hutojal mkuu
Ni video,ili ifunguke unatakiwa utumie browser.Doooh sina mkuu,,nna App tu,,kwan iyo n video au??
Aaah Chrome nnayoHuwezi kosa browser kwenye simu yako mkuu. Lazima unayo chrome, opera, safari au zinginezo
Tayari mkuu imefungukaNi video,ili ifunguke unatakiwa utumie browser.
Mungu wangu🥺😳😳
Shukran mkuuBasi una copy tu link ya huu uzi unaenda kufungulia huko kwenye chrome
Kama hujaelewa kitu sio lazima kuchangia!!mimi nilikuwa namjibu jamaa kuwa kama kipindi kiko live, na mgeni mualikwa/mtangazaji akatoa lugha isiyostahili hana ujanja wa kuliondoa neno hilo, kwani linakuwa tayari limeshasikika kwa wasikilizaji/watazamaji, tofauti na kipindi kinacho kuwa recorded, hapo wanaweza ku edit na kulifanya hilo neno lisisikike!!Mara ya mwisho ulisikia lini EATV/Radio wamefungiwa au kupigwa fine na Tcra?
Mimi sio kama nawatetea wasafi tena nadhani Tcra, wanaiogopa labda kutokana na wamiliki wake kuwa ni watu maarufu nchini, ilitakiwa ifungiwe kabisa maisha, kwani ina muda mfupi sana lakini makosa ya kimaadili yamekuwa mengi sana!!na hiyo inatokana USERA mwingi wa waongoza vipindi, sio waandishi wa habari hivyo hata miiko yake hawaijui!!na ndio maana hata hao wageni wao kila mala ndio wanaleta shida, kutokana na kutowapa muongozo wa maneno yenye staha ndio yatumike!!!Radio Tanzania wapo tangu miaka ya 60, wanaenda live na hawajawahi kufanya huu ujinga.
Sasa hawa wa juzi sioni hata wanahitaji kujitetea na kuaminiwa...waadhibiwe tu, na tena kama inawezekana wazuiliwe vipindi kuruka live.
ok naomba kujua kuna ile unakuta kama anayehojiwa anatoa matusi wanapiga kialarm flan hv hii nayo huwezi fanya kwenye live show??Mimi sio kama nawatetea wasafi tena nadhani Tcra, wanaiogopa labda kutokana na wamiliki wake kuwa ni watu maarufu nchini, ilitakiwa ifungiwe kabisa maisha, kwani ina muda mfupi sana lakini makosa ya kimaadili yamekuwa mengi sana!!na hiyo inatokana USERA mwingi wa waongoza vipindi, sio waandishi wa habari hivyo hata miiko yake hawaijui!!na ndio maana hata hao wageni wao kila mala ndio wanaleta shida, kutokana na kutowapa muongozo wa maneno yenye staha ndio yatumike!!!
Nilichosema ni kama kipindi kiko live huwezi uka edit tusi!!
Terriblehao ndio Wasafi halafu hawakufanya chochote utasema hakuna kilichotokea vile
Yaani uko sebuleni na unafungua channel kama Wasafi Tv, na E Tv ukiwa na watoto na wageni utakuwa hufikiri vizuri kiongozi.Yaani hapa kama mpo sebuleni na Watoto na Wageni wako wa heshima mnaangalia unaweza ukashtuka ukapiga meza ya chakula teke.
Natuma salamu kupitia Crdb,kibosho na Tunduma.Kama hujaelewa kitu sio lazima kuchangia!!mimi nilikuwa namjibu jamaa kuwa kama kipindi kiko live, na mgeni mualikwa/mtangazaji akatoa lugha isiyostahili hana ujanja wa kuliondoa neno hilo, kwani linakuwa tayari limeshasikika kwa wasikilizaji/watazamaji, tofauti na kipindi kinacho kuwa recorded, hapo wanaweza ku edit na kulifanya hilo neno lisisikike!!
Naona umekuja na kitu kipya kabisa !! Kwani jamaa alisema kwanini wasingefanyia editing hilo tusi lisisikike?sasa kipindi kiko live utalifanyiaje editing?!!
TCRA wenyewe nao wamepwiyanga, wanatakiwa wawaombe msamaha Wasafi ila ndio hivyo kwa mila zetu mkubwa hakosei.Ukiwa mfuatiliaji mzuri utagundua kuwa wasafi tv ni mojawapo ya vituo ambavyo vinaongoza kufungiwa au kupewa maonyo na TCRA.
Hawa jamaa huwa hawazingatii kabisa misingi ya urushaji matangazo na ndiyo maana maonyo yamekuwa mengi sana.
Nina imani kama kusingekuwa na watu wazito kwenye hii TV basi ingeshafungiwaga muda tu.
Hawa watangazaji wana weledi kweli wakufanya hii kazi??View attachment 2080992
Zuchu aliongea live halafu wajamaa wakaliachia hivyo hivyo kama lilivyo
WTF!!