donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Sorry,
Ni maoni yangu binafsi. Huu wimbo walioutoa rayvanny na diamond wakuitwa amaboko it's very ordinary song na Kwa wale wanaofahamu mambo ya midundo (beats) watakubaliana nami kwamba huu wimbo beat yake ni kama ya previous song na hata mahadhi yake (genre) ni kama ya nyimbo zilizopita.
Ni maoni yangu binafsi. Huu wimbo walioutoa rayvanny na diamond wakuitwa amaboko it's very ordinary song na Kwa wale wanaofahamu mambo ya midundo (beats) watakubaliana nami kwamba huu wimbo beat yake ni kama ya previous song na hata mahadhi yake (genre) ni kama ya nyimbo zilizopita.


