Wasafi kama wanaishiwa hivi...

Wasafi kama wanaishiwa hivi...

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Sorry,

Ni maoni yangu binafsi. Huu wimbo walioutoa rayvanny na diamond wakuitwa amaboko it's very ordinary song na Kwa wale wanaofahamu mambo ya midundo (beats) watakubaliana nami kwamba huu wimbo beat yake ni kama ya previous song na hata mahadhi yake (genre) ni kama ya nyimbo zilizopita.

 
Mi nimeacha kumsikiliza diamond,maana siku hizi haimbi ila anatukana tu
Mara embu chutama kama inazama,
Mara nikipekenya pekenya nisiwahi nichelewe...
Mara naipitisha kwa chini😂😂😂😂
Mara weka mate nyuma niteleze.

Binafsi naona kaacha mziki tangu alivyoimba nitarejea.
 
Ngoja nami nirudi kuusikiliza maana nimedownload muda sio mrefu ntaleta mrejesho
 
Kidogo kidogo naona kama ni kweli hivi....

Mimi kila wakitoa wimbo nilikuwa najiambia "labda huu ni intro tuu wakijiandaa kutoa dude kaliii", lkn wapi. Naona wimbo hadi wimbo graph inazidi kuporomoka tuu.

Nadhani kuna mahali mambo si shwari.
Unforgetable
Nimekuwa mshabiki mkubwa sana wa wcb Ila kiukweli sikuhizi wanatoa nyimbo mbovu sana, diamond aliacha kutoa nyimbo zinazoelewa 2018 kurudi chini
 
Sorry,
Ni maoni yangu binafsi. Huu wimbo walioutoa rayvanny na diamond wakuitwa amaboko it's very ordinary song na Kwa wale wanaofahamu mambo ya midundo (beats) watakubaliana nami kwamba huu wimbo beat yake ni kama ya previous song na hata mahadhi yake (genre) ni kama ya nyimbo zilizopita.



Nyimbo mbovu ya wcb kwa miaka 3 iliyopita,

Nadhan hata wao wanaona hilo
 
Kwa sasa domo anakimbizana na views za you tube ila angejua anajiharibia soko asingefanya hivyo,anakurupuka sana,hapo soon nadhan mwezi ujao anatoa collabo na zuchu. Kuna grup la wadada korea(blackpink sijui nimepatia jina) wanatoa nyimbo baada ya kukaa kimya kwa muda na wimbo una ujumbe mzuri na ndani ya masaa 24 wana views milion 82 you tube
 
Kwa sasa domo anakimbizana na views za you tube ila angejua anajiharibia soko asingefanya hivyo,anakurupuka sana,hapo soon nadhan mwezi ujao anatoa collabo na zuchu. Kuna grup la wadada korea(blackpink sijui nimepatia jina) wanatoa nyimbo baada ya kukaa kimya kwa muda na wimbo una ujumbe mzuri na ndani ya masaa 24 wana views milion 82 you tube
Kweli, hapo naungana nawe
 
Back
Top Bottom