Baada ya sabato masalia sasa kumejitokeza kundi jingine linaitwa 'sabato matengenezo' na sera yao ni kuwakataza watoto wao wasiende shule kwa madai wanafundishwa uongo, my take_ bora nibaki na dini yangu ya mungu mmoja hajazaa wala hajazaliwa!, chanzo itv taarifa ya habari