Warning: kuhusu NOKIA LUMIA

Kinachoniboa SmartPhone zote hazikai na Chaji kuna nyingine hata siku humalizi kabisa.
 
Nna nokia Lumia and I have the same problem..

Manufactures should be fixing it so, let's hope so.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mmenikumbusha hapo zamani kuna simu (sendo)zilikuwa haziingii vocha kwa njia halali mpaka usave as contact number then una dial ndo inaingia
 
best is relative....sioni sababu ya watu kubisha ....besides in this fluid business (mobile)...best lasts just for six months.
The important points tumepata hapa
:ni buyer beware kuna windows phone 7 mobiles ambyo hazi support ussd---- kwahiyo ussd apps kama MPesa hazifanyi.
:windows phone 8 ina support USSD kwahiyo new Nokia Lumia's do support mpesa.
Sasa kama bado ninayo windows phone 7 ....niki upgrade to windowsphone 8 ita kubali mpesa apps...au.
Au windows phone 8 isnt upgradeable to for some winpho7 devices.
Thats the important thing to know...
 

mkuu haiwezekani ku upgrade kutoka 7 kwenda nane na reason ni ile ile kulinda silaha yao kuu.

Silaha kuu ya microsoft os ya simu ni perfomance ipo fluid hailag even simu za bei rahisi zinaplay magame makubwa.

Simu zote za wp7 zina single core processor wakati simu zote za wp8 zina dual processor ni vigumu kuipa simu ya single processor os ya dual processor.

Thats why unakuta simu kama lumia 520 yenye dual processor ram 512 na storage 8gb inapatikana as low as 150usd hii ina maana hamna uwezekano wa simu ya wp8 kurun kwenye single cpu.
 
Kaka mbona hako kavideo kako hakawezi kukusapoti katika mjadala huu? Hako si katangazo tuu,achana nako katakupotezea,nguvu na hoja za msingi ambazo pengine unazo juu ya thread hii.

nilikua namuonyesha tu duniani hakuna simu 2 hao watu wote hao wanagombana as if duniani kuna vitu viwili tu. Wengine wamekua brainwashed hadi wanadhani siri inaweza kumuwezesha kujua kareti.

Hii video ni tangazo ndio lakini imekua apriciated na waandishi wa mambo ya technolojia wengi tu haiaplly kwa nokia bali kwa htc, sony, lg na wengine wengi ambao wanasuffer kwenye huo mlolongo.
 

So wa australia hawafai kujudge simu? Au akili yako inakwambia wamarekani tu wenye akili. Dunia ina watu bilion 6 na kitu so kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake ya simu anayoipenda. Gsma wameipa galaxy s3 lakini hii ni tuzo kama tuzo nyengine. Huwa hatuna fifa wa simu kila tuzo ni independent.

Achana na gizmodo maybe kwa opinion yako hawafai what about engadget? Nao pia wajinga?

Engadget alexa rank yake inarange 500 hadi 600 ni site ambayo inakua na user wengi sanaaa. Engadget na theverge ndo site zinazoongoza kwa watu kuvisit sana kwenye masuala ya simu.

So na hawa engadget wanawapromo nokia????

What abt phonearena? Hawa jamaa ni famous kwa kupendelea iphone lakini walishindwa kukipa ushindi kipenz chako iphone 5

mkuu usipo apriciate contribution ya lumia 920 wewe sio mwana tech. Sababu imecontribute vitu vingi so far ambavyo simu kama htc one na galaxy s4 wameiga/kuomba/kununua
 
nna nokia lumia 920 mbona inapiga kazi fresh tu ..
 
mkuu upgrade for WM7 to WM8 haipo, but... naskia 7.8 naskia ipo almost as good as 8 so mayb waliweka marekebisho, tumtafute aliyeitumia atuambia experience yake
 
mkuu upgrade for WM7 to WM8 haipo, but... naskia 7.8 naskia ipo almost as good as 8 so mayb waliweka marekebisho, tumtafute aliyeitumia atuambia experience yake

mkuu mi nisha update kwenda 7.8 inaeka option ya kuresize tiles pamoja na uwezo wa kutuma vitu kwa bluetooth hakuna jipya saana. Watu walitegemea feature kama room na kids corner za wp8 zije lakini hazijaja. Kuna apps ambazo ni exclusive za nokia kama cinemagraph pia zimeongezwa kwenye wp7.8

then kuna bug 2
1. Sauti ilikua inaenda mpaka 30 lakini now inaenda hadi 17 sauti imepungua

2. Ukaaji wa chaji pia umepungua kuna bug kwenye live tiles. Nimeskia kuna update inasolve hichi kitu ila sijareceive bado

wp7.x itaendelea kua kama ilivo kwa ajili ya watu fulani
 
Mi naona mmekalili majina ya cmu,Tecno wanakuja juu

mkuu tecno wanatumia android ambayo ni bure then ni manufacture wa kichina/wakihindi wanaotengeneza vitu vyenye cheap quality still wanauza vitu bei ghali wanakuja kutunyonya waafrica tu.

Take ur time tafta techno yako yako ya android angalia specs zake then calculate thamani ya hiyo simu utaona ni cheap saanaaa even umeuziwa rahisi wao wameitengeneza rahisi zaidi.

Kuhusu wao kukua sidhani kama ni kweli tuachane na nokia au samsung au manufacture wengine wa worldwide tuishindanishe na manufacture wenzake wa level yake kuna

1.micromax
2.oppo
3.meizu

meizu ana simu ilioishinda galaxy s4 kwenye benchmarks more powerfull processor kwa laki4 hadi 5.

Oppo same ana simu zenye specs za maana kwa bei za kutupa

micromax ndo kabisaa ana simu hadi za nchi 5 screen kwa bei chini ya laki 3
 
Kinachoniboa SmartPhone zote hazikai na Chaji kuna nyingine hata siku humalizi kabisa.

unapokea simu
unapokea msg
unapiga simu
unatuma msg
upo online whatsapp
upo online sijui twitter facebook instagram
wewe ni senior member jf unataka kila saa uingie
bado umesign kwa emails yahoo gmail hotmail na saa zingine msn messenger
teh teh hiyo hiyo unaandaa presentation ya kesho
kila saa kujifotoa mapicha na mivideo
bila kusahau you tube kila saa
simu hiyo hiyo unailalamikia haikai na chaji??
ahaaaa zioneeeni huruma basi na muwe fair kufanya judgement
 

Asanten kwa kutujuza maana tungezichukia bure, kwakua huwezi kuingia garama ya malaki kwa lengo la majaribio.
 
Nimeipenda hyo mazee

Sent from my BlackBerry 9980 using JamiiForums
 
sio kwamba waAustralia hawafai kuJudge simu, lakini ni kwamba Australia ni just a fraction of the entire mobile world, votes zao sio decider wa the entire globe, votes zao pia zimezingatiwa katika kupata best smartphone lakini mwishoni S3 ikashinda. Angalia Judges ni kina nani kwenye site yao. Global Mobile Awards ndio wenye jukumu hilo la kutoa hizo statistics na mtu atakuwa hajakosea akisema ndio 'world cup' kwa upande wa simu na Samsung Galaxy S3 ndio imelibeba kwa mwaka uliopita!! pia Jarida la kichumi duniani yaani 'Forbes' nadhani unafahamu, walishatoa report yao S3 kuwa best smartphone baada ya kuipiku iPhone 5, angalia hapa ( Samsung Galaxy 3 Beats Apple IPhone To Best Smartphone Award - Forbes ) otherwise, haya yote ni katika kuelimishana tu, hakuna ubishi hapa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…