Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Dr slaa inawezekana akatosha ila si kwa upepo wa sasa....
Dr slaa inawezekana akatosha ila si kwa upepo wa sasa....
Wadau, sio wazo wala mchango, wala si kitu cha kufikirika ila kwa uhahika kabisa Napenda kuwashauri vyama vyote vinavyounda ukawa, kua jibu sahihi la katiba ya tanzania, na ili kuleta mapinduzi katika taifa ili muweke tofauti, tamaa na matakawa yenu kichama na kumsimamisha Jaji Joseph Sinde Warioba kuwania uraisi kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Sisi wapenda maendeleo, wapenda haki na usawa, wapenda tanzania mpya tutakua nyuma yenu. Tafadhari zingatieni hilo....najua humu ndani viobgozi wa cuf, chadema, nccr, na vyama vyote vinavyounda ukawa wapo msipuuzie hili.
NB: kwa msisitizo zingatieni hili.
Alaf mgombea mwenza awe AG Othman aliyevuliwa madaraka jana, patamu hapo.
Umesomeka Mkuu Kamanda Francis...
Umri ni namba; Raisi Reagan wa Marekani aliingia madarakani akiwa na umri mkubwa kuliko umri wa Nyerere alipostaafu.
Alaf mgombea mwenza awe AG Othman aliyevuliwa madaraka jana, patamu hapo.
Hahahahaaa Mambo ya multiple id wameshakuumbua!
Na Mama Kijo wa LHRC... Watafaaa sana...
Ndugu zangu Kusema Kweli, huyu Mzee Jaji Joseph Warioba ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Mpya, ametokea Kuwa Kiongozi wa tatu Baada ya Dr.Slaa na Mhe.Mbowe, Kunivutia sana hasa Kwa Misimamo yao ya Kiutendaji pale Wanaposimamia Kile Wanachokiamini Kwa niaba ya wengi. Jaji Warioba licha ya Kuwa Kada na Mwanachama wa CCM, ameuonyesha Dhahiri Ukomavu wake wa Kisiasa Katika Kujenga, Kutetea na Kusimamia hoja zake zenye Maslahi Kwa Taifa letu Kwa Ujumla bila Kuelemea Upande wowote. Jaji Warioba pamoja na Kukumbana na Shinikizo Kubwa Kutoka Upande wa Chama Chake, tena Shinikizo linaloambatana na Matusi, Kebehi, Dharau, Udharirishwaji n.k, Lakini Jaji Warioba anaendelea Kuwa Jasiri Kila Kukicha Katika Kutetea hoja za Wanyonge wa Taifa hili na Kubeba Mzigo wa Lawama zote Inazotupiwa Tume anayoiongoza, Ilimradi Kile anachoamini Kimeelezwa na Watanzania, Kiwasilishwe Bungeni. Mzee Warioba ni Mtu wa Pili baada ya Dr.Slaa, anayeweza Kugombea Urais 2015 Kwa Sababu ya Hekima, na Busara zake Kama za Mwl.Nyerere.
Mbona already yuko fully UKAWA?aaah yule mama hapana mkuu, kuna wengine wazuri tu tofauti na yule mama