Warioba: Mimi na Salim urais basi

Good anaysis mkuu.
Binafsi no. 6, naona si kasoro bali ilitakiwa kuwa sifa kwa nafasi kubwa kuliko zote kwenye nchi. Sijui kama ujanja ujanja wa majukwaani sioni kama ni tija. I wish rais asingekuwa mwanasiasa

# 1 - 5. Huyu bwana namjua kwa kumsoma, unfortunately sio wa circle yangu. Lakini kama anachangia mawazo katika vikao halali vya chama hiyo ni busara zaidi ya kuonekana kwenye media ambazo una ubia
 
Kila mtu ana mipango yake na kama unahitaji kuijua ni bora ukamfuate.

Kila chama kila mipango yake kama unahitaji kuijua kifuate chama kile.

Kila dini ina mipango na taratibu zake kama unahitaji kuzijua fuata dini ile.

Kila kikundi cha kijamii kina mipango na makusudio yake kama unahitaji kuijua jiunge nacho.

Kukaa kimya kwa kiongozi ambaye yeye haisi kama wewe unamfikiria kuwa kiongozi na kuitimisha kuwa hafai kuwa kiongozi eti kwa sababu fulani ni kumdhalilisha kwani walio wengi watapotoka kifikra kupitia fikra zako.

Kwa sasa suala la nani anakuwa nani,lini na kwa namna gani muda wake bado,vuta subira kila kitu kitakuwa sawa wakati wake ukifika ingawa mwanzoni tulianza kuwajadili na ikafika mahala wengine wakaamua kujitokeza hadharani kutangaza nia ya kugombea.
 
Hatutaki mtu achukue urais kupitia chama cha mafisadi [chechemea].mmeanza kuja na mipango yenu.kumbuka kuwa hata umlete nani awe rais ndani ya system ya chama cha magamba ni sawa na bure.nani hakufurahi siku kikwete kaja na slogan hali mpya na kasi mpya.iliishia wapiiiiiiiiiiiiiiiiiii.????.na ni akina nani walimzimisha?????????.kwa hilo tu utapata jibu.hata ashuke malaika ndani ya ccm haibadiliki ng'oooooooooooooooooooooooooooooo.enough is enough.wawafuate akina kanu ya kenya huko.
 
Candid Scope, DULLAH MSAVIVOR,

..hatujamsikia Dr.Salim akipinga ufisadi.

..hatujamsikia akikemea na kupinga udini na ukabila.

..hatujamsikia akikemea ubaguzi wa waZNZ dhidi ya wa-TGK.

..hatujamsikia akitetea muungano, au akipendekeza muundo bora na wa haki wa muungano.

..hatujamsikia akipinga sera za uuzwaji holela na umilikishwaji wa mali za umma.

..inasemekana ni mwanafunzi nambari wani wa Mwalimu Nyerere lakini hatetei siasa za ujamaa, wala hahubiri sera ya kujitegemea.

..hatujamsikia akitetea nafasi ya Tanzania ktk jumuiya ya Afrika Mashariki.

..hata wakati wa harakati za KATIBA MPYA hatukumsikia akieleza msimamo wako.

..the man is just silent and indifferent kwa mambo yote yanayomkaibili nchi yetu na mwananchi wa kawaida.

..inasemekana anajiweza, lakini sijawahi kusikia amechangia msikiti, kanisa, shule, kisima cha maji, timu ya mpira, popote pale nchini.

cc: Kubwajinga, Nguruvi3, Ritz, njiwa

Mkuu JokaKuu,

  1. Ningependekeza kuwa katika kudadisi kufaa au kutokufaa kwa mtu, tuangalie zaidi au kutegemee yale aliyofanya kuliko kumshutumu mtu kwa yale asiyofanya hasa tunapomshutumu kwa kutokuwa mbele katika suala la upayukaji.
  2. Yote uliyoorodhesha hapo juu yana uzito, lakini sidhani kama hayo ndio wasifu wa mtu tunayemtegemea kuchukua nafasi ya JK. Kama kupiga kelele ingekuwa ndio sifa, basi Mch. Mtikila na Lowasa wangekuwa wameshashinda kwenye hizo sifa zote ulizosiorodhesha na Mkapa wala asingekuwa raisi.
  3. Ningependelea tuangalie zaidi sifa za mhusika wakati alipobahatika kuwa madarakani. K.m. usafi wake against rushwa, uwezo wake kuongoza na uelewa wake wa dunia vs mahitaji ya nchi yetu. Haya nafikiri ni muhimu zaidi kuliko kelele alizopiga mtu kwa kujitafutia umaarufu wakati tunajua wazi kuwa wengi wao wanao uwezo wa kunyanyua simu na kumkemea Kikwete bila ya gazeti lolote kufahamu yaliyotendeka.
 
Tunajua kuna watu wapo hapa kwa sababu ya njaa .Sasa tungeomba ndugu zetu wenye njaa wa pospond njaa zao sasa hivi.watu tupo very serious kuiponya nchi.mengi yamefichuka ndani ya chama cha magamba,na watu hawakujua,na wao walikaa kimya kama vile mambo ni mazuri tu[kwenye serikali].Nawaomba wakatafute kazi nyingine hii kazi safari hii hawataweza.FIRST COUNTRY CHAMA NYUMA
 
Nikweli mie pia nafikiri ni mnafiki fulani hivi....
Ni mtu aliefanya kazi karibu kabisa na mwalimu lkn waislam wenzie wanapo mpaka mwalimu matope anakaa kimya kama vile anakubaliana nao....unlike Jenerali Ulimwengu mara nyingine anasema ukweli tu kuhusu mwalimu....

Then amepoa sana, amezoea vyeo vya kupewapewa, hajawahi kufight kupata cheo kama mwalimu, Dk Slaa Nk....
Slaa ali fight kupewa nafasi ya kugombea urais? Si na yeye alipewa,au umesahau? Tofauti ya Slaa na SAS ni kuwa salim anajiheshimu na hawezi kujiingiza kwenye siasa uchwara za kidini na ukanda.
 
kichwa cha uzi na uzi wenyewe vipo mbalimbali....umehitimisha.....kisha unaHoji ndani.....
 
L.Col_Members_SalimSalim.jpg

Dr. Salim Ahamed Salim (Tanzania) and Henry A. Kissinger (USA)


6. Anaonekana kufaa shughuli za kiofisi zaidi kuliko siasa za majukwani.


Candid Scope
Mtu aliye mtendaji zaidi kuliko kupiga makelele yasiyoleta tija ndio tunayemtaka na ninashangaa kuwa kwako hicho ni kikwazo. Kama ni mtu wa majukwaani tayari tunaye Kikwete na wengine wengi wapo kama Mtikila na Lowasa ambao wote hatuwataki.
 
Slaa ali fight kupewa nafasi ya kugombea urais? Si na yeye alipewa,au umesahau? Tofauti ya Slaa na SAS ni kuwa salim anajiheshimu na hawezi kujiingiza kwenye siasa uchwara za kidini na ukanda.

Ubunge wa Karatu ulikuwa unampa wewe! Sali aliwahi kugobea wapi hata udiwani tu kwenye ushinda hasa nje ya chama!
Huo ukanda na udini ndio unaimaliza CCM ...bado hamsikii tu! Idda Pazi na dini yake kamfuata huyo unayedai anaendekeza udini!!
 
Tukiendelea kupanda mbegu ya udini tujionea madhara yake siku za usön. Tunamchagua kiongozi kwa uadilifu na uzalendo ktk taifa na sio anatoka dini gani. Mnakuja na hoja ya udini mmelemazwa na ombwe la watawala ambao wanatumia udini kma tiket ya kuingia madarakani. Tubadilike la sivyo...
 
L.Col_Members_SalimSalim.jpg
images

Dr. Salim Ahamed Salim (Tanzania) and Henry A. Kissinger (USA)

Dr. Salim Ahmed Salim ana jina kubwa nchini na kimataifa katika masuala ya kimataifa. He is a diplomatic figure. Naweza kumlinganisha na baadhi ya wanadipolamasia kama Henry Kissinger pamoja na umaarufu wao kimataifa hawakufaa kushika dola katika taifa.

Majukumu mazito aliyowahi kuyafanya kitaifa na kimataifa ni pamoja na:
  • Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa
  • Katibu Mkuu Umoja wa nchi Za Afrika
  • Mgombea Ukatibu Mkuu umoja wa Mataifa - hakupita
  • Nafsi ya juu aliyowahi kuishika Tanzania ni kuwa Waziri Mkuu
Pamoja na umaarufu alioweza kuwa nao katika masuala ya kimataifa na kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania:

  1. Hajaonyesha msimamo wake katika masuala ya kitaifa,
  2. Hayuko wazi
  3. Mkimya asiye weza kushirikisha aliyo nayo.
  4. Pamoja na kwamba ni mwana CCM sijawahi kuona ushirikishaji wa uongozi wake kwa CCM zaidi ya kuwa mhudhuriaji.
  5. Anaonekana kupokeleka zaidi kwa sura badala ya vitendo na fikra.
  6. Anaonekana kufaa shughuli za kiofisi zaidi kuliko siasa za majukwani.

Kwa mtazamo huu ana dira gani katika kuongoza Tanzania ya leo kama atagombea urais?
Je, Tanzania tuendelea kunadishwa majina makubwa ya wagombea urais pasipo kuonyesha uwezo wao?

Mkuu
Yote tisa,kumi,hatuko tayar kuongozwa na Mzanzibar.
Labda akagombee Zanzibar..
 
Naamini ni siasa za maji taka na si jingine lolote hapa. Kwani yeye amesema anataka kugombea uraisi? na kama ni suala la vyombo vya habari kwani hao wengine wanaotajwa wameshawahi kusema interest zao nini wakiwa maraisi? Mleta maada hana cha kujitetea zaidi ya ubinafsi na maji taka ya kuanza kuchafua watu ndani ya JF.

Hao aliowanyamazia wenye matatizo ya kifisadi ndo anaona wanafaa kuwa maraisi wa nchi yetu iliyo athirika kwa utashi wa watu sampuli yake?

Hebu ondoeni fikra mfu ya kujadili ujinga huwezi kumlinganisha yeyote kati ya wote wanaotajwa ndani ya CCM sasa hivi na Dk Salim A Salim. Yuko juu sana ndani na nje ya TZ. Habari ndo hiyo ukiweza meza ukishindwa tema.
 
L.Col_Members_SalimSalim.jpg
images

Dr. Salim Ahamed Salim (Tanzania) and Henry A. Kissinger (USA)

Dr. Salim Ahmed Salim ana jina kubwa nchini na kimataifa katika masuala ya kimataifa. He is a diplomatic figure. Naweza kumlinganisha na baadhi ya wanadipolamasia kama Henry Kissinger pamoja na umaarufu wao kimataifa hawakufaa kushika dola katika taifa.

Majukumu mazito aliyowahi kuyafanya kitaifa na kimataifa ni pamoja na:
  • Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa
  • Katibu Mkuu Umoja wa nchi Za Afrika
  • Mgombea Ukatibu Mkuu umoja wa Mataifa - hakupita
  • Nafsi ya juu aliyowahi kuishika Tanzania ni kuwa Waziri Mkuu
Pamoja na umaarufu alioweza kuwa nao katika masuala ya kimataifa na kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania:

  1. Hajaonyesha msimamo wake katika masuala ya kitaifa,
  2. Hayuko wazi
  3. Mkimya asiye weza kushirikisha aliyo nayo.
  4. Pamoja na kwamba ni mwana CCM sijawahi kuona ushirikishaji wa uongozi wake kwa CCM zaidi ya kuwa mhudhuriaji.
  5. Anaonekana kupokeleka zaidi kwa sura badala ya vitendo na fikra.
  6. Anaonekana kufaa shughuli za kiofisi zaidi kuliko siasa za majukwani.

Kwa mtazamo huu ana dira gani katika kuongoza Tanzania ya leo kama atagombea urais?
Je, Tanzania tuendelea kunadishwa majina makubwa ya wagombea urais pasipo kuonyesha uwezo wao?

Mkuu CANDID:Hoja yako ina mantiki, lakini turejee nyuma kidogo;
1. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 Dr. Salim alichafuliwa sana (Siasa za matope),ungetegemea jukwaa gani Dr. SAS angesimama na ku-demonstrate hoja ulizozitoa.
2. Dr. SAS alikwisha kuwa vetted kabla ya mwaka 2005.kwanini usilete hiyo hoja yako wakati ule?.
Please be Candid as per your name.
 
Mkuu JokaKuu,

  1. Ningependekeza kuwa katika kudadisi kufaa au kutokufaa kwa mtu, tuangalie zaidi au kutegemee yale aliyofanya kuliko kumshutumu mtu kwa yale asiyofanya hasa tunapomshutumu kwa kutokuwa mbele katika suala la upayukaji.
  2. Yote uliyoorodhesha hapo juu yana uzito, lakini sidhani kama hayo ndio wasifu wa mtu tunayemtegemea kuchukua nafasi ya JK. Kama kupiga kelele ingekuwa ndio sifa, basi Mch. Mtikila na Lowasa wangekuwa wameshashinda kwenye hizo sifa zote ulizosiorodhesha na Mkapa wala asingekuwa raisi.
  3. Ningependelea tuangalie zaidi sifa za mhusika wakati alipobahatika kuwa madarakani. K.m. usafi wake against rushwa, uwezo wake kuongoza na uelewa wake wa dunia vs mahitaji ya nchi yetu. Haya nafikiri ni muhimu zaidi kuliko kelele alizopiga mtu kwa kujitafutia umaarufu wakati tunajua wazi kuwa wengi wao wanao uwezo wa kunyanyua simu na kumkemea Kikwete bila ya gazeti lolote kufahamu yaliyotendeka.
Kubwajinga,

..kwa uelewa wangu,wakati Mkapa alipoingia madarakani alikuwa msafi kuliko Salim Salim. now, look at what he did alipokuwa madarakani!! binafsi siwaamini hawa wanafunzi wa Nyerere. nadhani ni wasafi kwasababu ya kumuogopa Mwalimu.

..kuhusu uwezo wake wa kuongoza, pamoja na uelewa wake wa dunia vs mahitaji ya nchi, sidhani kama Salim Salim ana lolote jipya. binafsi rekodi yake ya OAU hainivutii kwasababu aliishia kuifanya kama kijiwe cha Muamar Gaddafi. wa-Liberia hawataki hata kumsikia huyu bwana. wakati wa mgogoro na mauaji ya DRC, OAU and Salim Salim were missing.

..mwisho, kwa hapa nyumbani Salim Salim ametumikia wizara ya mambo ya nje, pamoja na wizara ya ulinzi. sasa pamoja na umuhimu wa wizara hizo, I would rather consider mawaziri wenye uzoefu na waliofanya vizuri ktk wizara za sekta zinazogusa moja kwa moja maisha ya Mtanzania.

NB:

..Kibwajinga, kama tunataka Mtanzania na mwana CCM mwenye rekodi ya kimataifa, na aliyeipata kwa nguvu zake mwenyewe, on merit, basi ni Prof.Anna Tibaijuka[PhD].
 
Last edited by a moderator:
Aaah Wapi,

Mmeshaanza siasa zenu za majitaka sasa,,

Hebu niambie wewe sasa.humpendi huyu kwa chuki zako binafsi au humpendi kwa kuwa yuko CCM??

Akisimama huyo 2015 hatuna budi kumpatia nchi hii,mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni..

Au kwa kuwa ni Muislam??

Wewe Dullah msavivor ndio bogus kabisa humu JF kwa tabia yako ya kiendekeza udini. Sitaki nikuite mpumbavu ila wewe ni mjinga. Mleta mada ametoa maelezo mazuri tu lakini wewe kwa ukurutu uliojaa kwenye akili yako umeamua kuingiza udini. Wewe ni mjinga namba moja duniani? Shame on you. Ngoja niishie usije nisababishia ban. I hate you.
 
wewe dullah msavivor ndio bogus kabisa humu jf kwa tabia yako ya kiendekeza udini. Sitaki nikuite mpumbavu ila wewe ni mjinga. Mleta mada ametoa maelezo mazuri tu lakini wewe kwa ukurutu uliojaa kwenye akili yako umeamua kuingiza udini. Wewe ni mjinga namba moja duniani? Shame on you. Ngoja niishie usije nisababishia ban. I hate you.


i love you kwa hisani ya mods wa jf
 
Uwazi ni muhimu zaidi katika uongozi, maana hatujui aliyo nayo moyoni mwake. Haonyeshi anayofikiria Tanzania iweje. Hajaonyesha msimamo wake kuhusu siasa za vyama vingi, uhuru wa vyama vya siasa, mazamo wa kuingea TAnzania ya leo, suala la elimu na matatizo mengine yanayolikumba taifa. Je? tumchague kwa sababu ya umaarufu wa jina lake au aanze kuwa mwazi kuleta mikakati yake ya kuijenga Tanzania.

Kamwe siwezi kumpa kura yangu ntu ambaye hajawahi kuzungumza jukwaani tukajua mtazamo wake. Ndio yale yale ya Kikwete alitutapeli kwa sura yake ya mvuto sasa tunalia. Tuwe makini watanzania wenzangu. 2015 ni wakati muafaka wa kubadili chama ili tupate mawazo na mitazamo mipya kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom