kaangwa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 644
- 193
Mkuu haya ni mawazo yako,yaheshimiwe,pia nawe yaheshimu mawazo ya mzee Walioba na wenzake.
Kusema alichokisema siyo kumdhalilisha Mwalimu.hebu tuangalie mwalimu alipokuwa hai,alipinga kuvunjwa kwa azio la Arusha,alipinga kuuzwa kwa benki ya taifa ya biashara (NBC),lakini yalifanyika mbele ya macho yake na siyo mbele ya kaburi lake,je hapo hakuvunjiwa heshima? Leo hii tumeshuhudia Walioba na wenzake wa tume ya katiba wakipendekeza maadili ya viongozi kama sehemu ya kurejesha nidhamu ktk uongozi ambalo ni mojawapo ya mambo muhimu ktkt azimio la Arusha,mbona hapo hujawapongeza?
Ikumbukwe kwamba Tume ya katiba wamejaribu kutatua tatizo la kero za muungano,kero hizo haziko kwa wazanzibar peke yao ni pamoja na kwa wabara,kuona jina la nchi yao linamezwa na muungano huku nchi ya zanzibar ikiendelea kutajwa kwenye katiba ya muungano.
Kama tujuavyo nchi za Tanganyika na Zanzibr ziliungana kuzaa TANZAN-IA
TAN-Tanganyika
ZAN-Zanzibar
I-Iqbar-Jina la aliyetunga jina la Tanzania
A-Ahamadiya-Dini yake
Kwenye ufafanuzi wa serikali mbili kuna tanzania bara na Zanzibar,ni lini iliwahi kuwepo nchi inayoitwa Tanzania bara
hasa ukiangalia majina yaliyotajwa hapo juu.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema "ktk serikali yangu nilifanya mambo mazuri na mambo ya kijinga,nashanga wanafuta mazuri wanashika ya kijinga"
Mimi nadhani mojawapo ya mambo ya kijinga aliyoyasema ni hili la Tanganyika kuitwa tanzania bara na tunalipigania hili la kijinga tunaacha jema la maadili ya viongozi lililodidimiza utu wa mtanzania.
Naipongeza tume ya katiba kwa kufuta ya kijinga tuliyoyashika muda mrefu na kurejesha mambo mema kwa faida ya watanzania wote.
Kusema alichokisema siyo kumdhalilisha Mwalimu.hebu tuangalie mwalimu alipokuwa hai,alipinga kuvunjwa kwa azio la Arusha,alipinga kuuzwa kwa benki ya taifa ya biashara (NBC),lakini yalifanyika mbele ya macho yake na siyo mbele ya kaburi lake,je hapo hakuvunjiwa heshima? Leo hii tumeshuhudia Walioba na wenzake wa tume ya katiba wakipendekeza maadili ya viongozi kama sehemu ya kurejesha nidhamu ktk uongozi ambalo ni mojawapo ya mambo muhimu ktkt azimio la Arusha,mbona hapo hujawapongeza?
Ikumbukwe kwamba Tume ya katiba wamejaribu kutatua tatizo la kero za muungano,kero hizo haziko kwa wazanzibar peke yao ni pamoja na kwa wabara,kuona jina la nchi yao linamezwa na muungano huku nchi ya zanzibar ikiendelea kutajwa kwenye katiba ya muungano.
Kama tujuavyo nchi za Tanganyika na Zanzibr ziliungana kuzaa TANZAN-IA
TAN-Tanganyika
ZAN-Zanzibar
I-Iqbar-Jina la aliyetunga jina la Tanzania
A-Ahamadiya-Dini yake
Kwenye ufafanuzi wa serikali mbili kuna tanzania bara na Zanzibar,ni lini iliwahi kuwepo nchi inayoitwa Tanzania bara
hasa ukiangalia majina yaliyotajwa hapo juu.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema "ktk serikali yangu nilifanya mambo mazuri na mambo ya kijinga,nashanga wanafuta mazuri wanashika ya kijinga"
Mimi nadhani mojawapo ya mambo ya kijinga aliyoyasema ni hili la Tanganyika kuitwa tanzania bara na tunalipigania hili la kijinga tunaacha jema la maadili ya viongozi lililodidimiza utu wa mtanzania.
Naipongeza tume ya katiba kwa kufuta ya kijinga tuliyoyashika muda mrefu na kurejesha mambo mema kwa faida ya watanzania wote.