hahaha nyamayao afadhali hiyo nyeusi inaendana na nguo hiyo alovaa............mlitaka avae rangi ya bendera? lol
nafikiri kwa watu wanaovaa nguo fupi mno kama hizi, inachukuliwa kuwa ni class kuvaa kufuli nyeusi tena iwe in the form of shorts (kwa huku nchi za nje)
kwa hiyo mie naona kapatia bwana 😀