Hivi huyu wa kulia nguo imepanda yenyewe au kaipandisha. Mezani sioni kinywaji kikali ila nafikiri huko alikotoka katandika viroba! Au ni kuku wa kienyeji!
Hivi huyu wa kulia nguo imepanda yenyewe au kaipandisha. Mezani sioni kinywaji kikali ila nafikiri huko alikotoka katandika viroba! Au ni kuku wa kienyeji!
Anaonekana mentally hayupo hapo kabisa, kama kapoteza sense, inawezekana ni athari ya viroba alivyokunywa awali au alivyochanganya kwenye soda. Kama wapo kwenye kitchen party vile?
Hivi huyu wa kulia nguo imepanda yenyewe au kaipandisha. Mezani sioni kinywaji kikali ila nafikiri huko alikotoka katandika viroba! Au ni kuku wa kienyeji!
Hivi huyu Lulu au Eliza Michael si ni under 18?? sasa kwa nini aliruhusiwa kuingia kwenye kitchen party ya Thea??namwonea huruma anvyokimbilia mambo ya wakubwa!!:doh:
Hivi huyu wa kulia nguo imepanda yenyewe au kaipandisha. Mezani sioni kinywaji kikali ila nafikiri huko alikotoka katandika viroba! Au ni kuku wa kienyeji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.